KKKT - DMP Usharika Wa Mbezi Beach
KKKT MBEZI BEACH NI CHANNEL YA USHARIKA WA KKKT MBEZI BEACH, mojawapo ya SHARIKA za KANISA LA KIINJILI LA KILUTHERI TANZANIA, DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI, JIMBO LA KASKAZINI.
Hii ni njia mojawapo tunayotumia katika kuwafikia washarika na watu wengine, ndani na Nje ya Nchi kwa kufuatilia na Kushiriki Ibada zetu wakiwa mbali.
RATIBA ZETU
Kila Jumapili :
• Ibada ya kwanza ya Kiswahili ni kuanzia saa 1 kamili asubuhi (7 :00 AM),
• Ibada ya pili ya Kiswahili ni kuanzia saa 4 kamili asubuhi (10 :00 am) na
• Ibada ya tatu ya Kingereza ni kuanzia saa 8 kamili mchana (14 :00 Pm).
Katikati ya wiki tuna vipindi vya
- IBADA YA WANAWAKE (Kila Jumatatu)
- DARASA LA WATUMISHI (kila Jumanne)
- MAOMBI NA MAOMBEZI (kila Ijumaa).
Ibada na vipindi vyote vinarushwa mubashara kupitia channel hii.
Toa sadaka yako kupitia MBEZI BEACH LUTHERAN HUDUMA". MAENDELEO BANK 014154966021, CRDB 0150080095503, M-PESA+255769217618.
TUMEUMBWA KWA MFANO WA MUNGU
Maombi ya Wanawake, Jumatatu 19 .05.2025
FAIDA YA JINA KWA MTOTO 4.......Mwl. Tumainieli Mbwambo
Maombi ya Wanawake, Jumatatu 14.04.2025
“Kukua katika neema na kuongezeka katika Bwana Yesu Kristo”.
Ili uweze kukuwa/ kuongezeka ni lazima kuna watu/ mazoea yatabidi yaondoke kwenye maisha yako.
semina, maombi na kufunga ( Waimbaji wa kwaya ya Halleluya)
Watoto wetu watafundishwa na Bwana
KUELEKEA MAVUNO 06/10/202
SEMINA YA NENO LA MUNGU SIKU YA PILI (Mwanzo 26:12)
SEMINA YA NENO LA MUNGU SIKU YA KWANZA
INAWEZEKANA KWA KILA AAMINIE
IBADA YA WAZEE, Jumamosi 20.07.2024
Copy of Ibada ya Morning Glory, Jumanne 02.07.2024
IBADA YA MORNING GLORY, 13 05 2024
MAOMBI YA WANAWAKE, JUMATATU 06 05 2024
DARASA LA UTUMISHI, JUMANNE 26 March 2024.
IBADA YA MORNING GLORY, 27 03 2024
Ibada ya Morning Glory Alhamis 29.02.2024
Makala kamili ya Mchungaji Dr.Yusuph Ng'alen
DOKEZO LA MAKALA YA MCHUNGAJI DR. YUSUF NG'ALEN:
Ibada ya Morning Glory, Ijumaa ya 08.12.2023
Semina Ya Neno La Mungu; siku ya 5 Alhamis 19.10.2023
Mavuno 2023
MIKAELI NA WATOTO
Kongamano la 7 la Biashara na Uwekezaji baina ya Israel na Tanzania.
Ibada ya Morning Glory, Jumatatu ya 18.09.2023