Nukta TV
Nukta TV is an online television channel owned by the fast growing Tanzanian digital media and technology company, Nukta Africa. It is registered online content service provider by Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) and it publishes daily news, features and exclusive interviews on business, technology, data, economy, education and special reports on any matter of public interests. It is a sister product of Nukta Habari (www.nukta.co.tz), a first Swahili data-driven news website.
Swahili
Nukta TV ni televisheni ya mtandaoni inayomilikiwa na kampuni ya habari na teknolojia ya Nukta Africa ya Tanzania. TV hii imesajiliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kutoa maudhui mtandaoni huku ikijikita zaidi katika habari, makala na mahojiano mbalimbali kuhusu biashara, uchumi, elimu, utalii, teknolojia, takwimu na ripoti maalum zinazochunguza masuala yenye maslahi kwa umma. Nukta TV ni dada wa Nukta Habari, tovuti ya kwanza inayoangazia za habari za takwimu Tanzania.
Balile: Serikali imejipangaje kudhibiti utekaji, watu kupotea na nchi kuwa na amani?
Hii hapa sababu Serikali kutotaja idadi waliofariki kwenye maandamano Oktoba 29 & 30
Sikia kauli ya Serikali kuhusu minong'ono ya maandamano Desemba 9
Dk Mwigulu: Hakukuwa na 'order ya kushoot', kuna askari wengi wamekufa
Mwigulu alivyojibu maswali magumu ya waandishi wa habari
Tazama jinsi wahariri walivyombana Waziri Mkuu Nchemba kwa maswali magumu
RC CHALAMILA ATAJA BAADHI YA SABABU WANANCHI KUICHUKIA SERIKALI
Washtakiwa 139 wa uhaini waachiwa huru Mwanza
Fedha za sherehe za uhuru Desemba 9, 2025, kutumika kukarabati miundombinu iliyoharibiwa
Hotuba ya Waziri Mkuu Nchemba baada ya kukagua miundombinu iliyoharibiwa wakati wa maandamano Dar
Dk Mwigulu Nchemba aagiza Huduma za mwendokasi Kimara, zirejeshwe ndani ya siku 10
Dk Mwigulu: Kanisa la Gwajima lifunguliwe kwa masharti
MKEKA WA MAWAZIRI WAPYA TANZANIA A-Z
Hili hapa Baraza jipya la Mawaziri la Rais Samia
Tovuti za Serikali zadukuliwa nchini Kenya, wananchi wakosa huduma
Serikali kuchunguza kiini cha vurugu za OKTOBA 29, Dk. Mwigulu akila kiapo cha Uwazir Mkuu.
Bunge la Tanzania Lairishwa, Kurejea Januari 27, 2026.
RAIS SAMIA: Tanzania tuheshimiwe kama tunavyoheshimu Mataifa mengine
Rais Samia: Tutaanzisha wizara kamili ya vijana
Rais Samia aagiza vijana waliofuata mkumbo Oktoba 29 wafutiwe makosa yao
Bunge lasimama kuwaombea waliopoteza maisha OKTOBA 29| Serikali kuunda tume ya Uchunguzi
Shangwe zaibuka Rais Samia alipowasili bungeni kufungua Bunge la 13
Yanayojiri mkutano wa COP30, Belém nchini Brazil na ushiriki wa Tanzania
Alichosema Rais Samia baada ya kumuapisha Mwigulu Nchemba
Tazama namna Dk Mwigulu Nchemba alivyoapa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania
Mwigulu Nchemba kuapishwa kesho, nafasi za Uaziri ACT zikiachwa wazi.
Nafasi nne za ACT Baraza la Mawaziri Zanzibar kubaki wazi kwa siku 90
Rais Mwinyi aongeza wizara mbili kwenye Baraza la Mawaziri
Mkeka wa Baraza la Mawaziri Zanzibar huu hapa!