Siri za Ufalme

Karibu kwenye channel ya Siri za Ufalme,
Hapa tunafunua ukweli wa Neno la Mungu kupitia hadithi za Biblia, ufafanuzi wa mistari mitakatifu, na mafundisho ya Injili kwa njia rahisi na ya kueleweka.

Lengo letu ni kukusaidia:
1. Kuelewa Biblia kwa njia ya simulizi za sauti.
2. Kugundua na kuzifahamu siri za ufalme wa Mungu
3. Kupata Neno la Mungu linalojenga, kufariji na kukuimarisha kiroho.

Jiunge nasi katika safari hii ya KIROHO-mahali ambapo imani inakua, akili inafunguliwa, na roho inaguswa.
Usisahau ku-subscribe ili upokee mafundisho mapya kila wakati. 🙏