TopGrowers
Karibu katika chaneli yetu ya TopGrowers!
Hapa tunakuwezesha mkulima kupata elimu kupitia vidokezo muhimu, mbinu bora, na maarifa ya kisasa ya kilimo ili kukusaidia kulima mazao bora, na kujenga biashara ya kilimo yenye mafanikio.
Kilimo ni UTI wa mgongo wa Taifa, hivyo mali ipo shambani!🥂🇹🇿
USIKARIRI MBOLEA (USIKARIRI TENA JINA LA MBOLEA)
NINI CHANZO CHA WADUDU KUWEPO SHAMBANI? (Sikiliza ujifunze kitu)
JE, NIWEKE MBOLEA WAKATI GANI KWENYE MAHINDI? WAKATI NAPANDA AU BAADA YA KUPANDA? NIWEKE VIPI?
TUMIA SUMU HIZI KUTOKOMEZA VIWAVIJESHI KWENYE MAHINDI
TUMIA MBOLEA HIZI KUPANDIA, KUKUZIA NA KUBEBESHEA KWENYE MAHINDI
KULOWEKA MBEGU ZA MAHINDI KWENYE MAJI KABLA YA KUZIPANDA (Sikiliza mpaka mwisho ili ujifunze zaidi)
Dalili na sababu za upungufu wa phosphorus kwenye mahindi na jinsi ya kuurekebisha
Phosphorus deficiency in maize and ways of fixing it
UCHIMBAJI WA MASHIMO NA UPANDAJI BORA WA MICHE YA KAHAWA (Coffee hole pitting & effective planting)
USIPOKUWA MAKINI, LAZIMA UKUTANE NA HIZI CHANGAMOTO KWENYE KILIMO CHA NYANYA
KILIMO CHA NYANYA: Fahamu vitu hivi muhimu kabla ya kulima Nyanya (Kuhusu kilimo cha Nyanya)
Kilimo cha TIKITIMAJI: Ili kuepuka hasara katika kilimo cha tikiti, zingatia au fanya haya
Makosa ambayo wakulima wengi wa tikitimaji hufanya, na njia ya kuepukana nayo
SEHEMU YA SABA: Faida ya mitego, uchavushaji na kupogolea kwenye tikiti
SEHEMU YA SITA: Matumizi ya sumu kudhibiti wadudu waharibifu katika kilimo cha tikitimaji
SEHEMU YA TANO: Mwendelezo wa matumizi ya mbolea kwenye kilimo cha tikitimaji, mambo ya kuepuka
SEHEMU YA NNE: Matumizi ya mbolea (fomula bora na rahisi) katika kilimo cha tikitimaji
SEHEMU YA TATU: Usiache kufanya mambo haya ya msingi baada ya kupanda tikiti
SEHEMU YA PILI: Upandaji wa tikitimaji, mbegu moja kwa shimo, uhakika wa kuota
SEHEMU YA KWANZA: Vitu vitatu muhimu vya kufanya kabla ya kupanda tikiti
Part 3: DAKIKA 7 za mkulima mzoefu wa kahawa akielezea namna anavyotunza na kuboresha kahawa zake
Part 1: DAKIKA 8 za mkulima mzoefu wa kahawa akielezea namna anavyotunza na kuboresha kahawa zake
Part 2: DAKIKA 5 za mkulima mzoefu wa kahawa akielezea namna anavyotunza na kuboresha kahawa zake
Part 4: MATANDAZO (Mulching) ni muhimu kwenye shamba la kahawa
KILIMO CHA MAHINDI: Mbinu bora na rahisi ya kuandaa shamba na nafasi ya kupandia (75 cm x 30 cm)
PART 2: Mwendelezo wa vipindi vya redioni- kilimo cha kahawa
PART 1: Program ya vipindi vya redioni - Kilimo cha kahawa
Namna nzuri ya UPANDAJI WA MCHE WA KAHAWA (Hii ni kahawa aina ya COMPACT)
Jifunze kuhusu ULENGETAJI WA KAHAWA (Robusta Coffee Stumping) na Mambo MUHIMU ya kuzingatia
Je, unalima Kahawa? ZIFAHAMU HIZI SIRI MUHIMU (Mafunzo ya vitendo kwa Wakulima - FARM VISIT PART 2)