SIMULIZI AFRICA
Karibu kwenye SIMULIZI ZA AFRICA
Hapa tunakuletea hadithi za Kiafrika zilizojaa hekima, burudani, na mafunzo ya kiutamaduni. Tunasherehekea utajiri wa fasihi simulizi ya Afrika, tukileta hadithi za wahenga, hekaya, na simulizi zinazoonyesha tamaduni, maadili, na maisha ya watu wa bara hili.
Mbali na hadithi, tunakuletea burudani za kusisimua inayogusa sanaa, udaku, filamu, na matukio yanayobadilisha taswira ya utamaduni wa Kiafrika.
Zaidi ya hayo, tunajadili habari za Afrika, tukileta matukio muhimu, mijadala yenye tija, na uchambuzi wa kina kuhusu masuala yanayogusa jamii zetu.
Jiunge nasi katika safari ya kugundua utajiri wa simulizi, burudani, na habari kutoka Afrika! Tafadhali subscribe , tuendelee kuleta mabadiliko kupitia nguvu ya maneno.
Karibu sana😊
Declaimer : This channel doesn't support any kind of violence.
ALIMSAIDIA MSICHANA Maskini Sokoni – Hakujua ni MCHAWI — NUSU BINADAMU, NUSU KONOKONO”
HUTAAMINI KILE AMBACHO IYA BASIRAT ANAWALISHA WATEJA WAKE KILA SIKU!
ALIPOINUA SHELA ALIKUTA BIBI HARUSI ANA NDEVU—LAKINI KINACHOFICHWA KITAKACHOKUSHANGAZA ZAIDI….
ALITELEKEZWA HOSPITALI NA FAMILIA YAKE, WAKACHUKUA MALI ZAKE — LAKINI KILICHOTOKEA BAADAE UTASHANGAA
TAJIRI ALIMDHARAU MKEWE KWA SABABU NI MNENE — MIAKA BAADAYE, ALIMFANYA AJUTIE
"VISAFISHE KWA ULIMI WAKO,” TAJIRI ANAWADHALILISHA MAPACHA WATATU HUKU WAKILIA
Bilionea Amkuta Mchumba Wake Akimwagia MAJI MACHAFU MAMA YAKE na Binti Yake — Hapa Ndipo Alipofanya
ALIOKOTA PETE BARABARANI—KILICHOTOKEA BAADAYE KITAKUSHANGAZA
Alimwalika EX Wake TASA Kwenye Sherehe Ili Kumdhalilisha, Akaja Akiwa na Mapacha Wanne
“Hajafa”, MASIKINI Anasimamisha Mazishi ya Bilionea ili Kumuokoa, Kilichotokea Baadae Kiliwashangaza
ALIKUNYA KWENYE CHAKULA cha wateja! Kilichotokea baada ya hapo kiliwashangaza wote.
Alijifungua WATOTO 12 KWA MARA MOJA, lakini alichofanya baadaye kitakuacha umeduwaa.
Alipoamka, Aligundua Mama Yake Amekuwa SANAMU, Kisha Baadae Akamwona Tena Mjini.
Msichana Alijifungua Ndani ya Kaburi, Kisha Muujiza Ukatokea.........
Mke Alidhalilishwa Na FAMILIA Ya BWANA HARUSI “Walidhani Ni Maskini… hadi alipofanya.......
MAMA WA KAMBO ALIMGEUZA BINTI YAKE KUWA MBUZI… HUWEZI AMINI KWA NINI......PART 2
“Tafadhali Usitupige” Alisema Wakati MAMA WA KAMBO ANAMPIGA YEYE NA MDOGO WAKE, KISHA BABA ANAINGIA.
Rafiki Yangu ALINIPELEKA GESTI , Leo NAOZA Na KUTESEKA Peke Yangu.
"USIMDHURU — NIUZIE MIMI" alisema MKULIMA alipoona MAMA WA KAMBO akimpiga BINTI YAKE.
MAMA WA KAMBO ALIMGEUZA BINTI YAKE KUWA MBUZI… HUWEZI AMINI KWA NINI......
Mama mwovuu amtupa mtoto mchanga mtoni bila kujua kuwa ni binti wa Mzimu wa mto
ALIMGEUZA MUME WAKE KUWA MSUKULE … ILI APATE UTAJIRI, ILA KILICHOMKUTA BAADAYE ALIJUTA........
ALIACHA FAMILIA YAKE ILI KUKUTANA NA MPENZI WAKE WA DUBAI,KILICHOTOKEA BAADAE KILIKUWA CHA KUTISHA.
ALIPEWA MKUFU WA ALMASI "Alidhani Ni Mkufu Tu, Lakini Kilichompata....”
Kijana Alipata Chupa Mtoni Ikiwa na Mtu Amefungwa Ndani, Hiki Ndio Kilichotokea ...
Alimuwacha MKE WAKE Kwa Sababu ALIKUWA KIBONGE — Kisha Akapunguza Uzito na Kulipiza Kisasi......
Msichana MASIKINI Alimuokoa BILIONEA alietaka kufa Bila ya kujua, Alichofanya BAADAE HUTAAMINI...
Walimcheka Sababu Ana MACHO MATATU ,Lakini Miaka Mingi Baadae HIKI NDICHO KILICHOTOKEA...
MUME WAKE ALIMUACHA BAADA YA KUWA MLEMAVU, BILA KUJUA AMEACHIWA URITHI WA DOLA MILIONI 100....
MCHUNGAJI Maarufu Akutwa na VICHWA VYA WATOTO WAKE | Hadithi za Kiafrika zenye Mafunzo ya Maadili