MAISHA ONLINETV
🎥 MAISHA ONLINE TV – MWANGAZA KWA JAMII 🌍
Karibu kwenye Maisha Online TV, kituo kinachoibua habari, matukio, tamaduni na ubunifu kutoka Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.
Hapa tunakuletea:
🔥 Makala maalum za kijamii na kiutamaduni
🎙 Mahojiano na viongozi, vijana na wabunifu
📸 Matukio ya serikali, chama, na jamii
💡 Elimu, burudani na uhalisia wa maisha halisi ya kila siku
Tunaamini katika kuelimisha, kuhamasisha na kuibua fikra chanya kwa jamii yetu.
👉 Tazama, Jifunze, Shiriki na Subscribe sasa!
📲 Maisha Online TV – Mwangaza wa Fikra Mpya kwa Jamii.
TAZAMA RC HAMIDA AWAPA NENO KAMATIZA ULINZI NA USALAMA MKOA WA KUSINI
SHUHUDIA MAZIKO YA MAREHEMU MZEE ALIAMEIR MOHAMED DONGE ZANZIBAR
MBETO:RAIS DK MWINYI KUTEKELEZA AHADI BILA LONGOLONGO ZANZIBAR
TAZAMA RAIS MWINYI AWASISITIZA WANANCHI KUENDELEA KUIOMBEA NCHI AMANI
DK. MWINYI TUTAENDELEA KUTENGENEZA MAZINGIRA MAZURI KWA WAJASIRIAMALI
MBETO: DK. MWINYI AMEKISAIDIA CHAMA CHA MAPINDUZI KUSHINDA USHINDI WA KISHINDO 29 OCTOBER
MBETO AWAJIA JUU WANAOMTOLEA LAWAMA DKT. SAMIA KUMTEUWA WANU
ANENA MAZITO MTAKWIMU MKUU WA SERIKALI ZANZIBAR KUHUSU VYANZO VYA UKUSANYAJI WA TAKWIMU
RAYA HAMADI AWAHAMASISHA VIJANA NA WASANII KULINDA NA KUDUMISHA AMANI ZANZIBAR
TAZAMA MBETO AMWAGA SIFA KWA WASANII NA VIJANA WA HAMASA ZANZIBAR
TAZAMA ALICHOKISEMA DK. MWINYI KATIKA KHUTUBA YAKE WAKATI AKIZINDUA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR
MBETO: ATOA TATHMINI YA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU 2025