SAYUNI EAGT CHURCH
Kanisa la Sayuni EAG(T) Sinoni-Arusha, chini ya Askofu Dr. Leonard Mwizarubi pamoja na Dr. Amesario Leonard Mwizarubi linaamini katika kuongeza thamani ya maisha ya watu kwa kupitia mafundisho sahihi ya neno la Mungu.
Kwenye channel hii utapata mafundisho yatakayobadilisha maisha yako pamoja na shuhuda za matendo makuu ya Mungu kutokana na huduma ya watumishi wa Mungu Askofu Leonard Mwizarubi pamoja na Dr. Amesario Mwizarubi katika kanisa la Sayuni tangu miaka ya 1990.
Tunaamini kupitia mafundisho sahihi ya neno la Mungu na Roho mtakatifu mtu anaweza kuishi Maisha matakatifu akiwa hapa hapa duniani tofauti kabisa na fikra potofu kuwa hakuna utakatifu duniani “Zab 16:3”
JIFUNZE KUMTOLEA MUNGU KILICHO BORA KWA IMANI
IMANI NI KUTANGAZA USHINDI KABLA HUJAANZA KUPIGANA VITA KIMWILI. Waebrania 11 : 1
MWAMBIE BWANA YESU AINGILIE KATI VITA YAKO NA BARAKA ZAKO
Askofu Dr. L.Mwizarubi
IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU
IMANI KATIKA BWANA WETU YESU KRISTO NI MSINGI WA MATUMAINI KATIKA ULIMWENGU HUU
PRAISE AND WORSHIP SERVICE
ALIVYO MTU LEO KWA NJE NI MATOKEO YA JINSI ALIVYO MOYONI MWAKE; MITHALI 23 : 7
SOMO: KILA MTEULE ANATAKIWA KUWA MAKINI SANA KATIKA MAENEO YOTE.(Yeremiah 2:21) NA WINFRIDA KIVUYO
SABABU ZA KUMTAFUTA ROHO MTAKATIFU KATIKA SAFARI YA KWENDA MBINGUNI
UHARIBIFU MKUBWA WA JERUSALEM; MAOMBOLEZO 1 : 1 - 22
Mtakatifu Ni Mtu Baki.
Baraka za MUNGU
TUSAHAU YALIYOPITA 2024 TUCHUCHUMILIE YALIYO MBELE 2025
Mungu ana tabia ya kuingilia kati vita yetu na adui zetu.
2024 12 14 16 36 54
KARAMA YA IMANI
FORWARD WITH FAITH (SONGA MBELE KWA IMANI)
IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU
NIFANYEJE ILI NIWEZE KUUPENDEZA MOYO WA MUNGU
MTU ALIEOKOKA HUFANYA MAMBO YAKE KWA BIDII; Mithali 22 : 29
IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU
KAZI YA ROHO MTAKATIFU NDANI YA MWAMINI;- MATENDO 1 - 8
Kitu cha thamani maishani.
Uhimidiwe Mungu Sayuni Kwaya
Kristo Yesu - Sayuni Kwaya
Nitakusifu - Sayuni Kwaya
Ilikuwaje - Amani Kwaya
Tunakutukuza - Amani Kwaya
Nitasimama - Amani Kwaya