TANZANIA GOSSIP
MUONGOZO WA CHANNEL YA INSIGHT TZ.
INSIGHS MEDIA inakupa updates za burudani na
zinazotrend masaa 24 kuwahusu watu maarufu kwenye
burudani ya Tanzania na kugusia nchi jirani.
Sisi kama INSIGHS MEDIA kwasababu tunawafikia
watanzania wengi hivyo tunazingatia misingi ya uhariri kwa
kufuata:-
-Kuripoti Habari kwa kutoa fursa sawa pande zote.
-Kuepuka uchochezi kwa kujiepusha na udini, uteam, ukabila na
mambo yote yanayoweza chochea uchochezi.
-Kuripoti habari za kweli
kurekebisha taarifa zilizopotoshwa kwa wafuatiliaji wetu
(subscribers na unsubcribers)
Lakini pia kwa Walio subscribe channel yetu
-sisi kama INSIGHTS MEDIA
huwa tunafuata maoni ya
Subscribers wetu hivyo kila mtu ana haki ya kutupa maonii
yake na yakafanyiwa kazi.
-lakini pia kwa wale wachochezi kupitia channel yetu ambao
wao hutumia comments kwenye habari zetu tuna uwezo wa
kuwaondoa ili kuzuia uchochezi.
MPENZI WAKE MTU WA KAZI AFUNGUKA KUWA NA UJAUZITO WAKE, Ametoroshwa na Mshangazi Anatafutwa..”
NAYA AMKATAA BILNASS na kumlilia dada wa kazi (Memo) UKU AMARA AKITULIA KWA MARIOO, Paula na Nandy
Utapenda NAYA alivoshika Mic Kuwashukuru Nandy Na Bilnass kwenye BirthDay !
NAYA ALIVYOMKWEPA NANDY NA BILNASS na kumlisha keki dada wa kazi
Nandy na Bilnss utapenda alivopiga goti kumvisha pete ya almas yenye thamani mara 20 ya ile ilopotea
Dogo Paten aoga pesa za Marioo baada ya kumchezesha Paula na Kajala wimbo huu
BABA LEVO AFICHUA SIRI WASANII WAPYA WCB KWENYE USIKU WA WASAFI IFTAR
UTATA JINSIA YA MFUNGAJI WA GOLI LA YANGA PRINCESS ZIDI YA SIMBA QUEENS
KUMEKUCHA RYTA WA DIAMOND BAADA YA KUJIBU AAIDI KUVUJISHA NYINGINE AMGUSA PABAYA ZUCHU KWA FANTANA
AZIZ KI ALIVOMVALISHA PETE HAMISA MOBETO mbele ya wazazi wao huu ni zaidi ya upendo
HAMISA NA AZIZ KI WALIVOLISHANA KEKI MBELE YA WAZAZI WAO tazama alichofanya mtoto wa Diamond Dylaan
MTOTO WA DIAMOND ALIVOMTOA MACHOZI HAMISA BAADA YA KUKUMBATIWA NA AZIZ KI KWENYE MAHARI DAY
AZIZ KI NA WACHEZAJI WA YANGA WALICHOKIFANYA KWA HAMISA NI ZAIDI YA UPENDO MAHARI NA NG’0MBE MSURURU
ONA FAHMA NA PAULA WALIVYOLISHANA KEKI KWENYE USIKU WA HIGH SUGAR TEA TAZAMA NANDY ALIVOFURAHI
PAULA NA FAHMA USO KWA USO TAZAWA NANDY ALIVOWAUNGANISHA UTAPENDA WAZAZI WAKIUNGANA
NANDY AMKUTANISHA PAULA NA FAHYVANNY USO KWA USO kwenye usiku wa Tea Sugar
KUMEKUCHA PENZI LA HAMISA NA AZIZ KI SASA SIO SIRI TENA, mahaba alopewa/Mashabiki wa Yanga walaani..
MANGE KIMAMBI KWA MARA YA KWANZA ARUKA LIVE TIKTOK WEMA NA WHOZU BAADA YA KUTOROKA BILI
INASIKITISHA AJALI GARI YA PESA NA COROLLA KINONDONI MANYANYA, VIJANA WAFURAHIA RIZIKI 😢
Diamond Platnumz ft. Rick Ross KIONJO new song
DADA YAKE JUX AKIMTUNZA WIFI YAKE PRISCY, FATMA give priscy a millions of money 10M Tsh=5,900k Naira
HII NI ZAIDI YA UPENDO DIAMOND AKIIMBA NYIMBO YAKE NA MARIOO inaitwa #superstar
KUMEKUCHA DADA WA KAZI WA NANDY, MUONEKANO MPYA AKATA NYWELE KUEPUKA MANENO Ona akiongea kingereza😳
UTAPENDA NANDY ALIVO MNYOA NYWELE DADA WA KAZI ANAETREND TIKTOK
INASISIMUA ANJELLA ACHANGIWA 100M MATIBABU YA MIGUU, ZUCHU NA DIAMOND MSTARI WA MBELE😢
INASIKITISHA MFANYAKAZI WA NANDY FULL VIDEO SIKU YA BIRTHDAY YA NAYA “Nilitaka kusuka lakini😭
FAHYVANNY AMWAGA MAMILIONI KWA NANDY KWENYE BIRTHDAY YA NAYA
UTACHEKA ALICHOFANYA PILI KITIMTIM KWA NANDY… KUFURU YA PESA KWENYE BIRTHDAY YA MTOTO WA BILNASS
NANDY AKILISHWA KEKI NA MTOTO WAKE NAYA utapenda suprise ya BILNASS
KUMEKUCHA NANDY AVUJISHA NYIMBO MPYA KWENYE BIRTHDAY YA MTOTO WAKE bonge la Amapiano🙌🏾