Maisha Bora TV
Joseph Petro ni musomi na mwana zuoni aliyebobea katika Mambo ya familia uchumi mafundisho ya Dini ndoa na Siasa. hivyo nitakuwa na wewe katika channel hii iitwayo Maisha Bora TV. karibu sana
Pia tutajadili mambo mbali mbali ya Huduma uchaguzi na maisha halisi ya Mtanzania .kuanzia Sasa tutaangalia pia siasa za Tanzania na East Africa kwa ujumla
Wasiliana nasi kupitia ±255 783588198 au ±255715588198
Vitabu ambavyo Joseph petro ameandika vimeleta mwamko mkubwa vitabu hivyo ni
1: Shinda Hofu Ishi kishujaa
2:Inuka miliki kula na kushiba
3:maombi ya nayojibiwa
wasiliana nasi ilikujipatia vitabu tajwa hapo juu
Wachungaji hubiri ukweli musikubali kuwekwa mfukoni kwa sadaka na zaka yohana 8:32.subscribe
Siku hizi wachungaji wa kuhubiri kweli hawapo Kuna wachungaji wa mishara. Subscribe like share
Hofu ya waumini kuhama kanisa imewafanya wachungaji waogope kuhubiri utakatifu.subscribe
Omba mpaka ujibiwe usiache maombi Yako hewani.Subscribe like share
Hakuna usiku usipambazuka.ukizimia siku ya taabu nguvu zako ni chache mithali 24:10.subscribe like
Nawaomba wote mulio kwenye ndoa musikilize hapa
Usikubali mtu Yeyote akudharau wasipoku heshimu jiheshimu mwenyewe.Subscrbe
Usishindane na waovu wapuuze utakuwa mushindi subscribe like share
Usiweke mtu wa 3 katika ndoa yako.epuka kabisa mtu wa 3.Subscribe like share
Maaskofu kuwatenga mitume na manabii nimpango wa Shetani kulidhoofisha Kanisa.Subscribe like share
Wapuuzeni wanao wazuia kupiga kura.kura ni haki yako ya musingi chagua unayempenda.Subscribe naomba
Wachungaji wengi wa kipentecostal wanayo ya fundisha wao hawayatendi. Subscribe like share
Hutapata Urais kwa kumtukana Rais Tuambie utaifanyia Nini Tanzania tukuchague.Subcribe naomba
Pentecostal wakatoriki na waislam akina nani wanaofundisha ukweli Juu ya mavazi.Subcribe na kuomba
Mkosoeni Rais kwa Ustarabu siyo matusi. Like share Subcribe
Wachungaji wengi wa kipentecostal wataenda motoni.Like share Subscribe nakuomba sana
Kufa katika umri mdogo ni laana Fanya mambo haya uishi Maisha marefu
Mambo matatu yanauopatikana kwa wachungaji wa madhehebu ya kipentecostal tu.Nakuomba Subcribe
Dhambi kuu nne Ambazo wachungaji wa kipentecostal wa meshindwa kuziacha naomba subscribe
Mjue munafiki sifa zake natabia yake. Like share Subscribe
Wachungaji wengi wa kipentecostal ni wanafiki. Na wamejaa hila
Wanasiasa lindeni Amani Ya nchi wakati wa uchaguzi Tanzania iwe namba Moja cheo namba 2.subcribe
Siku hizi hakuna ndoa ila Kuna watawala na watawaliwa.waebr 13:4 imepuuzwa .subcribe share like
Selikari waokoeni wanaume na virutubisho vya nguvu za kiume.subcribe share like
Hii ni mpya Kali ngumu nyeupee kutoka kwa pastor shoboka subscribe nakuomba
Sikiliza kwa Makini haya mahusia ya Mtumishi wa Mungu.Subcribe naomba
Nikweli tumeshinda na tuwashindi kwa jina la Yesu
Soma vitabu hivi vilivyoandikwa na mchungaji Joseph utaipata maalifa makubwa Juu ya Mungu
Vijana wa Kenya mkome kumtukana Rais wetu. Rais Samia hajawai tamani kuwa Rais wa Kenya.Subcribe
Sikia tabia ya mwanamke unayetaka kumuoa ilivyo. Share subscribe