UzimaTele TV
Pentecostal Holiness Mission (PHM),
Ni Kanisa ambalo linaloongozwa katika misingi ya Kipentekoste. Kanisa la PHM - UZIMA UKONGA, lipo Jijini Dar es Salaam, Ukonga - Magereza katika eneo la Kichangani - Madukani. Kanisa linaamini juu ya Ubatizo wa Maji Mengi, Wokovu kwa wanadamu wote unaopatikana kwa kumwamini YESU KRISTO MWANA wa MUNGU aliye HAI. Na pia tunaamini juu ya ROHO MTAKATIFU mwenye Nguvu na Uweza ambaye humpatia Nguvu na Uwezo wa Kuishi maisha Matakatifu na Ushindi kila aaminiye kwa mujibu wa Ahadi za NENO LA MUNGU.
Kanisa la PHM - UZIMA UKONGA , DAR ES ALAAM lipo chini ya uangalizi wa Mchungaji Dickson Sifaeli Mbwambo na Florence S Mbwambo ambaye pia ni Askofu Msaidizi wa Jimbo - Sehemu ya Temeke.
Mungu Mkuu Kwa Utukufu Wake anawatumia watumishi wake, Kurejesha Uzima wa Mungu katika maisha ya watu walioteswa na Ibilisi shetani.
Yohana 10:10 "...Mimi nalikuja ili wawe na UZIMA, kisha wawe nao TELE"
Kwa mawasiliano: Piga +255 714 774 329 au +255 716 944 424
Hii haitasahaulika kabisa
Mtumishi Ezekiel akifundisha Neno la Mungu siku ya utegemezaji vijana 2025
Siku ya utegemezaji vijana ilikuwa njema sanaaa
Ona shangwe la vijana wa phm uzima ukonga siku ya utegemezaji mambo ni 🔥
Wimbo maarumu siku ya utegemezaji vijana 2025
Neno la upakoo
Shughuli ya keki siku ya utegemezaji vijana uzima ukonga 2025
Show ya vijana siku ya utegemezaji vijana 2025
Sifa siku ya utegemezaji wa vijana 2025
Hakika hii ilikuwa ni nzuri sana
Uaminifu ni nguzo muhimu sana katika maisha ya mtu aliyeokoka
Nguvu ya roho mtakatifu ndani yako
Uaminifu ni wa muhimu sana katika maisha yako
Kuwa mwaminifu katika mambo yote
Haijalishi unapita katika mambo gani kuwa mwaminifu tu
Ushuhuda wa mama askofu jinsi alivyopita huko nyuma
Roho mtakatifu hutusaidia katika mambo yote
Roho mtakatifu anavyomsaidia mwamini
Umuhimu wa Roho mtakatifu ndani yako
Kutambua uwezo wa Roho mtakatifu ndani ya kanisa
Kuokoka bila kuwa na Roho mtakatifu bado hujakamilika
Sisi sote tunafamya kazi ya kuujenga mwili wa kristo
Mtumishi christiner akihubiri siku ya utegemezaji wa wanawake phm uzima ukonga
Usiogope Bwana atakupigania
Tunapiganiwa na Bwana wala usiogope. Mama askofu Frolence Mbwambo alipokuwa akihubiri phm bomba mbil
Kwaya phm uzima ukonga ikiimba live akapela ilipotembelea tawi jipya la phm bomba mbili dsm
Tazama watu wakimsifu Mungu katika roho na kweli bila vyombo vya mziki
Mshike Yesu anaweza yote
Uzima kwaya wakiimba live akapela kwenye kanisa la phm bomba mbili
Kwaya ya phm bomba mbili dsm ikihudumu