Fr. Peter Kafumu, OFM Cap
AMKA ULE (1WAFALME 19: 5b, 7)
AMKA ULE ni maneno tunayoyapata 1Wafalme 19:5b, 7. Ni maneno aliyoambiwa Nabii Eliya na malaika wa Bwana alipofika mahali pa kuchoka na kukata tamaa kabisa ya kuendelea na safari ya maisha na wito wake. Ndugu zangu wapendwa ni hakika kuwa mara nyingi katika safari ya maisha tunakutana na changamoto nyingi na magumu ambayo yanatupekea kukata tamaa.
Nimeanzisha channel hii kwa lengo la kutoa mafundisho ya neno la Mungu yatakayokuwa yanatupa nguvu pale tunapochoka kwenye maisha na miito yetu mbalimbali. Kumbe nawakaribisha kwa maneno hayo AMKA ULE.
Fr. Peter G. Kafumu, OFM Cap
MAHUBIRI: DOMINIKA 3 MAJILIO - A (Usiahirishe Furaha Yako)
MAHUBIRI: DOMINIKA 2 MAJILIO (A) - Giza Halitadumu, Nuru inakuja.
MAHUBIRI: DOMINIKA 1 MAJILIO - MWAKA A (Jiweke Tayari)
MAHUBIRI: SIKUKUU YA KRISTO MFALME (Tawala Kwa Haki -Tumikia)
MAHUBIRI: DOMINIKA 33 MWAKA C - Kila Kitu Kina Mwisho.
MAHUBIRI: DOMINIKA 32 MWAKA C - Wewe ni Hekalu
MAHUBIRI: MAREHEMU WOTE - Kwa Nini Tunawaombea Marehemu?
MAHUBIRI: DOMINIKA 30 MWAKA C - Usijione Bora kiasi cha kuumiza wengine
MAHUBIRI: DOMINIKA 29 MWAKA C - Usishushe Mikono Yako
MAHUBIRI: DOMINIKA YA 28 MWAKA C - Usisahau Kurudi ...
MAHUBIRI: DOMINIKA 27 MWAKA C - Imani Katikati ya Dhoruba za Maisha
MAHUBIRI: DOMINIKA 26 MWAKA C - "Lazaro" wako ni nani??
MAHUBIRI: DOMINIKA 25 MWAKA C - Nini kina Thamani kwako, UTU au VITU?
DOMINIKA YA KUTUKUKA KWA MSALABA - Usisahau Mungu alikokutoa
MAHUBIRI: DOMINIKA 23 MWAKA C - Gharama na Baraka za Kubeba Msalaba
MAHUBIRI: DOMINIKA 22 MWAKA C - MNYENYEKEVU HAPOTEZI
MAHUBIRI: DOMINIKA 21 MWAKA C - Nini Kinakuzuia? Ondoa kizuizi
MAHUBIRI: DOMINIKA 20 MWAKA C - Majaribu Hayakwepeki
MAHUBIRI: DOMINIKA 19 MWAKA C - Imani yako iko wapi?
MAHUBIRI: DOMINIKA 18 MWAKA C - JE, UNAMILIKI AU UNAMILIKIWA ??
What is your Golden Calf? Smash it Now!
MAHUBIRI: DOMINIKA YA 17 MWAKA C - SIMAMA ILI WENGINE WAPONE
MAHUBIRI: DOMINIKA 16 MWAKA C - USIJILINGANISHE NAYE
MAHUBIRI: DOMINIKA 15 MWAKA C - USIPITE KANDO
MAHUBIRI: DOMINIKA 14 MWAKA C - UNAPELEKA UJUMBE GANI??
MAHUBIRI: SHEREHE YA WATAKATIFU PETRO & PAULO
MAHUBIRI: SHEREHE YA UTATU MTAKATIFU - UMOJA USIOGAWANYIKA
AMKA ULE: Mpokee Roho Mtakatifu Uwe Mpya
AMKA ULE: Amani Inayoshinda Dhoruba
"Why Pope Leo XIV Today?" - A Deep Dive with a Great Mind, Fr. Baudry.