Kikosi kazi cha injili🎖
Unaweza ukawasiliana nasi kwa namba za simu +255769015164 & +255655436603
Namba zinapatikana whatsapp na namba za kawaida.
Mbarikiwa "awakemea" wanaoshangilia KUFUNGULIWA kwa kanisa la Gwajima. Huo ni uzuzu au uchawa.
Mbarikiwa aitwa Ikulu kwa ajili ya "MARIDHIANO" apigiwa simu ya upole.
Mchungaji Mbarikiwa Akihubiri kwa njia ya mtandao | 23-11-2025 | Mbeya
Mbarikiwa amshambulia shetani kutubu! Ulitania ila wameuawa kama ulivyotania. Je, Ulitania?
WIMBO HUU ULIIMBWA 2021 ILA UMETOKEZA MATOKEO 2025? HABARI HII INAUMIZA MOYO WANGU
Mbarikiwa ainasa clip ya Mc pilipili ambayo inaweza ikawa ilisababisha auawe.
UMETOA WAPI MAMLAKA YA KUTUGAWA KIDINI? MBONA MUMEJIPANGA VIBAYA, SISI TUNATAKA UHURU WA KUISHI
Mbarikiwa alipuka kifo cha Mc pilipili na shehe aliyesema tutachinjana vichwa na waandamanaji.
"KUANGUKA KWA TULIA" Unabii wenye hisia kali alioutoa MBARIKIWA. HAKUNA MNYORORO USIOKATIKA
Mbarikiwa atia neno Tulia kukosa uspika/ uwaziri mkuu. Huna utu. Unajali connection kuliko utu
Kutubu ni gharama - Mch Alune Kyusa - 16-11-2025 - Jumapili
Mbarikiwa ashitushwa na kauli hizi zisizotambua uhai wa watu ila uharibifu wa mali/miundombinu
Mbarikiwa akubaliana na Nchimbi kuhusiana na maridhiano. Ni kwe maridhiano yatafanyika.
Mbarikiwa akiwa mafichoni atoa video ya wimbo kuwalilia waliuawa.
Mbarikiwa na mkewe walivyoagana na mchungaji Mariamatha kwamba tuonane bandarini kule
Mbarikiwa ampinga Lusekelo. UNATIA PILIPILI KWENYE VIDONDA VYA WAFIWA. HIYO BUSARA NI HATARI
Baada ya uchaguzi kutakuwa vilio. Mbarikiwa alivyotoa unabii kanisani kuhusu vifo/vilio/giza nene..
Mbarikiwa awashauri kwa uchungu wanaosherehekea vifo vya watu. Dunia ni fumbo weka akiba ya maneno.
Hatimaye Mbarikiwa azungumzia kinachoondelea. Je ni rasmi TZ tumeingia kwenye dhiki kuu?
WAOVU HAMTADUMU MILELE, HIVI VILIO VYA KILA SIKU MUNGU HUSIKIA. NALIA SANA
TUPENI HAKI YETU, SIO LAZIMA WATU WAFE AU WAUMIZWE HIVI...
Magufuli Alilia machozi alipotabiri hiki kinachoendelea.
Mbarikiwa atoa neno kinachoendelea leo baada ya watu kushangilia gari ya jeshi
Dakika za jioooni Mbarikiwa apasua jipu kuhusu maandamano. Je ni dhambi kibiblia?
Hatari ya viongozi kujilimbikizia mali. Watu watakufa 50/100 ila 300 watakukamata.
Amkeni watanzania. Gwajima amtaja Mbarikiwa. Awataka watanzania kuamka dhidi ya utekaji na nchi yao
Mbarikiwa ashusha maombi mazito kuwaombea askari,CCM, wafanyakazi wafanyabishara kwa ajili ya tar 29
MAJESHI YETU YAJIPANGA KWA AJILI YA ULINZI NA USALAMA
Mbarikiwa amrukia vibaya nabii Eliya Elias. Wewe ni pepo uliyepandukizwa kuuchafua Ukristo?
Mch Mbarikiwa Mwakipesile akiongea na watoto wake kwa njia ya mtandao