Manhaj Online TV
Karibu Manhaj Online TV – Kituo bora cha kuelimisha jamii kuhusu misingi sahihi ya Dini ya Kiislamu.
Tunatoa mafundisho yanayohusu:
- Swala, Funga, Zaka na Hijja
- Maadili mema na malezi ya Kiislamu
- Mawaidha, darsa, na vipindi maalum vya kidini
- Kadhaalika maswali na majibu kuhusu masuala ya dini.
📌 Lengo letu ni kusambaza elimu ya dini kwa njia sahihi, nyepesi na inayoeleweka kwa kila mtu.
📅 Tazama Video zetu tunazozituma kila siku na washirikishe na wengine.
💸 Support Us via M-Pesa
- Lipa Namba: 50211673
- Account Name: Manhaj Media Production
Support yako inatusaidia kuendelea kutengeneza maudhui bora ya Kiislamu na kijamii.
🔔 Subscribe ili usikose mafundisho mapya kila siku.
Je, Umeoa? Vijana msingojee Fitna Iwakamate — Ndoa ni Silaha yako katika hizi zama za leo za Fitna.
Usigeuze Dini yako kuwa Vichekesho ili kupata Likes na Views — Dini sio Jukwaa la Mizaha | Jihadhari
Mzaha mmoja unaweza kukutoa katika Uislam bila kujua — Tahadhari na Koma kucheza na Dini yako.
Uharamu wa Miziki: Ukweli ambao wengi hawataki kusikia – Minasaba mingi ya Waislam inawekwa Miziki.
Ugaidi unaofanyika kwa jina la Maandamano - Maneno ya haki yanayotumiwa kwa Makusudio Maovu.
Wema wa Mzazi haulipiki: Kwanini unamsimanga Mzazi wako kwa wema uliomfanyia? Sikiliza Maneno Haya
Fahamu Siri iliyopo nyuma ya haya Maandamano na Sikiliza kauli za Hatari sana za Baadhi ya Maaskofu
Majibu yetu kwa Maaskofu: Je, Tunazungumza Amani bila Haki? Kama mmekusudia haki yasemeni na haya.
12. Kitabu Al-Kabair (Madhambi makubwa) | Kuwaasi Wazazi wawili - الكبائر للإمام الذهبي
MASWALI MAZITO kwa MAASKOFU kuhusu Amani na Haki - Tatizo linalosumbua ni kuwa Muislamu! - Part 4
MASWALI MAZITO kwa MAASKOFU kuhusu Amani na Haki - Sasa hivi Tanzania udini umedhihirika - Part 3
MASWALI MAZITO kwa MAASKOFU kuhusu Amani na Haki - Hii nchi ni yetu sote - Part 2
MASWALI MAZITO kwa MAASKOFU kuhusu Amani na Haki - Sheikh Abuu Sumayyah Yussuf Magwagu
Utiifu kwa Viongozi hata wakiwa Madhalimu na Waovu? | Sikiliza majibu kutoka kwa Sheikh Ilyasaa Juma
11b. Kitabu Al-Kabair (Madhambi makubwa) Kuzuia kutoa Zakkah - الكبائر للإمام الذهبي | Part 2
11a. Kitabu Al-Kabair (Madhambi makubwa) Kuzuia kutoa Zakkah - الكبائر للإمام الذهبي | Part 1
Waliosaka Haki kwa Vurugu: Walipata Nini? Tafakari kabla ya Maamuzi yanayoweza kugharimu Maisha
NASAHA KWA WAAJIRIWA: Msiwauwe ndugu zenu kwaajili ya kulinda vibarua vyenu - Sheikh Ilyasaa Juma
MANENO NI SABABU YA UHARIBIFU NA KUMWAGWA DAMU | Khutba – Masjid Ibn Qudamah, Mtwara
Khutba: Masjid Omar - Kariakoo | Nini cha kufanya baada ya haya Matukio? - Sheikh Muhammad Mujahid
Raddi yakielimu kwa Abdallah Juma Makaratee juu ya Matusi na Dharau zake kwa Wanachuoni wakubwa
NADWA: Umuhimu wa Amani - Tahadharini na wanaojiita Wanaharakati Huru walio ndani na Nje ya Nchi
NADWA: Madhara ya Maandamano - Jihadharini na wachochezi wa Fitna (Mange Kimambi na wenzake).
NADWA: Umuhimu wa Amani | Sheikh AbdurRauf Kagimbo Al-Munaawiy حفظه الله | Sehemu ya Pili
NADWA: Umuhimu wa Amani | Sheikh AbdurRauf Kagimbo Al-Munaawiy حفظه الله | Sehemu ya Kwanza
NADWA: Umuhimu wa Amani na Madhara ya Maandamano | Ufunguzi - Sheikh Ilyasaa Juma حفظه الله
Muhadhara: Masjid Sunnah - Msasani | Ubora wa kusema Ukweli na Madhara ya Uongo | Sehemu ya Tatu
Muhadhara: Masjid Sunnah - Msasani | Ubora wa kusema Ukweli na Madhara ya Uongo | Sehemu ya Pili
Khutba: Haki za Watawala na Hatari za Maandamano | Sheikh Nurudin Siminda – Masjid Ibn Qudama Mahuta