Site Tv Online
Karibu kwenye ukurasa rasmi wa SITE TV YouTube channel.
SITE TV makao Makuu yapo Mpanda Manispaa Mkoani Katavi, Ofisi zake zipo Jengo la Mpanda Plaza Ghorofa ya 3.
Ni ukurasa makhususi kwa ajili ya Habari za uhakika Masaa 24 kupitia channel yetu ya YouTube, Instagram, Twitter na Facebook kwa kuandika @sitetvtz.
Pia kwa mawasiliano mengine ya Kiofisi unaweza kutumia Barua pepe kwa÷
P.O.Box 235
Email: [email protected]
#TukutaneSite #TukutaneKazini
MAKUNDI MBALIMBALI MPANDA YATOA KERO DC JAMILA AFUNGUKA.
Matokeo ya uchaguzi Meya manispaa ya Songea/Dkt Ndumbaro asema haya.
Tazama zoezi la uchaguzi wa Meya manispaa ya Songea/wagombea wajinadi
Waziri Dkt Homera Dkt Homera atoa wito wa kupuuza wito wa maandamano.
#site DKT. HOMERA ATATUA KERO YA BWENI KATA YA LIMAMU, KAZI HUKO NAMTUMBO IMEANMZA KWA KASI
TFS Wino waja na Bonanza kutoa elimu ya kuzuia moto kichaa katika mashamba ya miti.
KWA UCHUNGU WANAWAKE WA KIISLAMU KATAVI(JUWAKITA)WAFANYA DUA YA KULIOMBEA TAIFA
PSSSF wakabidhi vifaa vya afya vyenye thamani ya milioni 30 kituo cha afya Muhukuru.
KAMATI YA AMANI,VIONGOZI WA VYAMA,WANDISHI WA HABARI KUDUMISHA AMANI MPANDA.
CCM Manispaa ya Songea yatangaza zoezi la uchukuaji fomu za Umeya na Naibu Meya.
BAKWATA-KATAVI WAUNGA MKONO TAMKO"HATUTAKUBALI AMANI IVURUGIKE TUKISHUHUDIA KWA MACHO"
HOMERA CHONGOLO WAULAMBA UWAZIRI BALAZA JIPYA LA MAWAZIRI
#site KICHAPO CHA TAIFA STARS MASHABIKI NAMTUMBO WAFUNGUKA, WAMTAJA KIPA WA SIMBA YAKUB SULEIMAN
MAMBO MOTO TUZO ZA MWANAMKE WA THAMANI 2025 KUTOLEWA NA KATAVI WORTH WOMEN DEC 6
#site BAADA YA DR. HOMERA KULA KIAPO, WANANCHI NAMTUMBO WAELEZA MATUMAINI YAO
Tanesco Ruvuma wakopesha majiko ya umeme ni nishati nafuu kuliko kutumia mkaa.
KATAVI IPO SALAMA SHUGHULI ZA KIUCHUMI ZIENDELEE KAMA KAWAIDA.
MBUNGE LUPEMBE AKABIDHI BASKELI 274 JIMBONI KWAKE ATIMIZA AHADI YAKE.
Dkt Samia anatambua mahitaji ya watanzania/tuchague CCM.Msongozi
Dkt Samia anatambua mahitaji ya watanzania/tukachague CCM.Msongozi
MGOMBEA UDIWANI MISIGALO APEWA UCHIFU NA WAZEE WA MPANDAHOTELI WAMTAKIA KHERI.
SUMA FYANDOMO AWAPA ZA USO WANAOHAMASISHA MAANDAMANO/ ATOA SOMO KWA WANANCHI RUNGWE
MPANDA:MKIONA ASKARI MITAANI MSISHTUKE NI AMANI TU MAANDAMANO HAYARUHUSIWI.
Balaa la Mhe Kiosa katika kampeni kata ya Mchoteka Tunduru Kusini
Msongozi afunga kampeni kata ya Mchoteka/bilioni 2 za maji Dkt Samia amepeleka kuondoa changamoto
KANISA HALISI (VAZI JEUPE) LATOA TAMKO JUU YA UCHAGUZI 29 OKTOBA 2025
PILI MAGUFULI AACHA UJUMBE KWA WANAWAKE KATAVI
Msongozi/Happy Ngwando sio mchezo waisimamisha Tunduru mamia wafurika kutiki oktoba 29
KAMATI YA UTEKELEZAJI UWT KATAVI YATIA MGUU MWAMKULU KUOMBA KURA
RC MALISA AWATUMIA UJUMBE WAFANYABIASHARA WA JIJI LA MBEYA/ KATENI NA HUISHENI LESENI ZANU