amon mandele
Channel hii imesheheni mafundisho mbali mbali ya neno la Mungu.Katika channel hii utajifunza Mungu anasema nini juu ya maisha yako na namna gani Mungu anataka tuishi ili tuweze kuishi maisha ya ushindi siku zote..Kumbuka neno la Mungu ni hekima ya Mungu mwenyewe.Hivyo kila mtu atakayeyafanyia kazi mafundisho ninayopost kwenye channel hii ya youtube maisha yake hayatabakia jinsi yaliyokuwa Kwa Jina la Yesu..Neno la Mungu limeweka wazi kwenye Hosea 4:6 kwamba 'Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa" ...Channel hii ipo kwaajili ya kukuongezea maarifa Kiroho na ya maisha kwa ujumla.. AIdha katika channel ninapost mafundisho mapya mara tatu kwa wiki, jumatatu, jumatano na ijumaa..Na ili usikose mafundisho yote ninayopost kwenye yangu ni lazima U-SUBSCRIBE.. Mungu akubariki
Kwanini Ni Muhimu Kulinda Mawazo Yetu?
Tafuta Nuru
Hatari Ya Kufanya Mambo Wakati Usio Sahihi
Ni Saa Ya Kuamka Katika Usingizi
Mungu Anakutengenezea Ushuhuda Kwa Wanao
Sababu 2 Za Gharika Kutokea
Umuhimu Wa Kutunza Siri
Kila Mtu Yupo Kwa Kusudi Maalumu
Muujiza Wako Hauchelewi, Usikate Tamaa
Mtakatifu Na Azidi Kutakaswa
Hakuna Aliye Na Upendo Kuliko Huu
Alijeruhiwa Kwa Makosa Yetu
Jifunze Kwa Wengine Lakini Usijilinganishe Nao
MUNGU HAPENDI MTU YEYOTE APOTEE
Mungu Ana Misheni Na Watoto Wako
Haukuumbwa Kuabdu Vitu
Je Pesa Huwa Zinabadilisha Watu?
Kanuni Ya Imani
Mafanikio Yako Yamefichwa Nyuma Ya Changamoto Unayopitia
Ndivyo Alivyokuwa
Siri Wasioijua Wengi Ya Kupata Mali
Maneno Kama Malighafi
Heri Wasioona Wakasadiki
Mambo 2 Ya Kufanya Mungu Akikuinua
Kwanini Watu Wengine ni Lazima Wafe Maskini
Utofauti Wetu Unaleta Ladha Ya Maisha
Usipigane Vita Isiyo na Faida
Usipofurahia Mafanikio Ya Wengine Huwezi Kutoboa
Jambo la Kufanya Ukiona Mwenzako Amefanikiwa
Chagua Kuwatia Moyo Wengine