Biblia na Imani Katoliki
Karibuni katika chaneli ya
KIPINDI CHA MASWALI NA MAJIBU YA IMANI KATOLIKI
Ambacho huongozwa na Prof. Pd. William Ngowi, OFMCap., profesa katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Jordan, Morogoro.
Kipindi hiki huwa siku za Jumapili Jioni saa 10:30 hadi 12:00 katika Nyumba ya Wafransisko Wakapuchini, Kola, Morogoro.
Kama unaswali lolote kuhusu "Biblia na Imani Katoliki" tutumie / wasiliana nasi kupitia Email hii:
[email protected]
Asante.
Ndoto alioota Mfalme Nebukadneza/ ufafanuzi wa Danieli
Jinsi ya Kukisoma na kukielewa kitabu Cha Ufunuo
Kwakua Mungu ndie aliewaumba wanadamu wote, inakuaje anaruusu Waisrael wawaangamize watu wa mataifa?
Hakuna Ukombozi/Wokovu nje ya Yesu Kristu.
Mungu hakuwai kujutia kumumuumba mwanadamu hata baada ya mwanadamu kuasi.
FUMBO LA MATESO: Kwanini watu wema wanateseka?
Utofauti kati ya Barua ya Pili ya Mt Paulo kwa Watesalonike na ile ya kwanza, na Barua nyingine.
Kwanini tuwaombee marehemu hasa katika mwezi huu??
SALAMU MARIA: kwanini utuombee sisi wakosefu na sio sisi wanao?
Je Mungu anaumba malaika mlinzi Kila anapozaliwa mtu?
Maana za maneno Moyo na Roho kama yalivyotumika katika Biblia.
Mgogoro wa Waisrael na Wapelestina. Kuundwa kwa Taifa la Israel
Maana ya Kuweka Nadhiri za Kitawa: Ufukara, Usafi wa Moyo (Useja) na Utii.
KUZIMU. Je Kuzimu ni wapi? Je Yesu alienda Kuzimu baada ya kufa?
Historia ya MSALABA na aina mbalimbali za MISALABA ya Kikristu.
Shetani (Lucifer); Mwanzo wake na hatima yake itakapofika mwisho wa Dunia.
Hata wasio wakatoliki watapitishwa Toharani kutakaswa kabla ya kumuona Mungu.
Je, Waebrania walikua na mtazamo gani juu ya kuoa Wakushi?
Kitabu cha Mhubiri (Maswali na Majibu)
Kwanini Kuinama Ukipita Mbele ya Kanisa?
Maelezo kuhusu Malaika
Mungu aliwaadhibu Waisraeli kwa sababu gani?
"Kama Unaogopa, Niwewe Umejitayarisha Mwenyewe." Maswali na Majibu
Mungu anavyo Adhibu: Agano la Kale Vs Agano Jipya
UMOJA WA MUNGU NA MWANADAMU
Utatu Mtakatifu (Maswali na Majibu)
Nani Alisulibiwa Msalabani: Mungu au Mwanadamu? (Maswali na Majibu)
Barua za Kitabu cha Ufunuo: Barua kwa Waefeso (Ufu 2:1-7)
Maswali na Majibu, 18 Mei, 2025.
Maswali na Majibu 11 Mei, 2025