Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Afrika
Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Afrika, ni shirika la kwanza mno la utangazaji la kimataifa linalomilikiwa na wanahabari huru wa kimataifa wa Afrika, kupeperusha habari za kina na moto moto zinazogonga vichwa vya habari kote Afrika Mashariki na ya Kati, kwenye nchi za Maziwa Makuu, Upembe wa Afrika, na kote kote duniani.
Haya ni matangazo ya moja kwa moja ya dakika 30, yanayorushwa kuanzia 6:00-6:30 Asubuhi na Jioni kutoka 7:30-8:00, kila siku. Maudhui na msuko wa habari na vipindi vyetu unajumuisha vivutio vya majadiliano ya kina na wageni na wataalam. Vipindi vinaakisi maudhui mbalimbali kama vile siasa, teknohama, sayansi, michezo na burudani, afya, masuala ya vijana na wanawake pamoja na ujasiriamali. Pia, kila baada ya matangazo kuna tahariri ambayo inarejelea msimamo wa Afrika kuhusu matukio mbalimbali duniani.
Sikiliza mubashara matangazo yetu kupitia majukwaa yetu ya kijamii; Facebook Page na Youtube na Redio Washirika kote Afrika.
Wanajeshi wa Uingereza wamulikwa Kenya
Je mkataba Rwanda na DRC ni suluhu au kiini macho?
Matamshi ya Trump kuhusu Wasomali nchini Marekani yanatafsiriwaje Afrika?
Volker Turk: Uganda inakiuka haki za binadamu
Matangazo ya Leo Desemba 4,2025: Uchambuzi, Mkataba kati ya Felix Tshisekedi na Paul Kagame,Marekani
Tahariri: Afrika yasubiri kigongo cha mzungu kuinuka!
Magere Winner :Kupata maambukizi ya Virusi vya UKIMWI sio mwisho wa maisha
M23 Yataka Mamlaka ya Majimbo
Matangazo ya Jioni Desemba 3, 2025: Uchambuzi wa matamshi ya Rais wa #tanzania Samia Suluhu Hassan.
Tahariri:Guinea-Bissau, Mapinduzi ya Kijeshi au karata za siasa?
Tahariri:Matamshi ya rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuhusu mapinduzi yanajenga au yanabomoa?
Siku ya Ukimwi Duniani. Hali ikoje Kenya?
Matangazo ya Jioni Disemba 2,2025: Usuluhishi wa mzozo DRC na msukosuko wa kisiasa Tanzania.
Uganda Yakabiliwa na Wimbi Jipya la Ugonjwa wa Ukimwi
Matangazo ya Jioni Disemba 1,2025:Uchambuzi wa Siku ya Ukimwi Duniani. Je,Afrika imepiga hatua gani?
M23 Yavuruga Amani Kivu Kusini
Ugonjwa wa Kipindupindu waitikisa Burundi
Je,ipi Nafasi ya Afrika Katika majukwaa ya dunia?
Tahariri:Mikutano ya mara kwa mara ya kimataifa,je inawafaidi waafrika?
Tahariri: Mapinduzi ya Kijeshi nchini Guinea Bissau. Demokrasia inayumba Afrika?
Tahariri: Nafasi ya vijana barani Afrika: Chachu au Mzigo?
Matangazo ya Jioni Novemba 28,2025 :Uhuru wa Wanahabari Ukibinywa… Nani Atasema Ukweli?
Matangazo ya Jioni Novemba 27,2025 : Uchambuzi wa mzozo mpya unaotokota kati ya Ethiopia na Eritrea
Ni nani hasa wanaridhiana Tanzania?
Matangazo ya Jioni Novemba 26, 2025 :Mkutano kati ya Ulaya na Afrika, nani kufaidika?
Uchambuzi wa uchumi wa Kenya kutokana na hotuba ya rais William Ruto mbele ya bunge la nchi hiyo.
Tahariri: Msigwa achemsha! Serikali ya Suluhu yachelewa
Matangazo ya Idhaa ya Kiswahili ya Afrika JIONI NOVEMBA 24, 2025
Ajabu ya Maridhiano nchini Tanzania. Chakwera ataweza?
Matangazo ya Jioni Novemba 21, 2025 : Uchambuzi wa Mgogoro wa Mashariki ya #DRC. Je, suluhu ni ipi?