Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy
Darsa na mawaidha ya Sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy رحمه الله aliyekuwa Chief Kadhi wa Zanzibar na Kenya, na aliyetafsiri Qur'ani kwa Kiswahili. Mtungaji wa vitabu vingi vya Kiislamu, mtetezi wa Sunnah ya Mtume ﷺ.
Amesema رحمه الله: "...Kuna madhara makubwa kabisa ya duniani na Akhera katika kufuata dhana tu. Inataka kila unalolisema au kulifuata iwe una ujuzi nalo...Ilimu ya kweli ni: (a) Mwenyezi Mungu amesema, (katika Qurani); (b) Mtume amesema, (katika Hadithi zake Sahihi)" [Qurani Takatifu, uk. 733].
Jihesabu Nafsi Yako - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Kupokea Kitabu Kwa Mkono Wa Kulia - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Masharifu - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Ufisadi Unaofanyika Kwenye Zeffe (Zafa) - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Haifai Kupiga Ngoma Msikitini - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Nyiradi Za Asubuhi Na Joini - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله Awashukuru Watu Wa Mombasa
Kuwa Na Kiasi Katika Sunnah Ndio Bora Kuliko Kujitahidi Katika Uzushi
Leteni Hata Surah Moja Ya Mfano Wake! - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Kushatikiwa Mbele Ya Kadhi Mkuu Sayyid Umar Bin Sumeyt
"Tunawafuata Wazee Wetu" - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Ilimu Ni Allah Amesema, Mtume Amesema - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Kisa cha Watu wa 'Aad (Nabii Hud عليه السلام) - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Wapi Ilikozuliwa Ibada Ya Kukohowa? - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Mjadala Baina Imam Abu Hanifa Na Asiyeamini Mungu - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Tawhidi Na Shirki - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Tawassul za Uzushi na Shirki - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Kisa cha Mwenye Mabustani Mawili - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Uongo ndani ya Kitabu cha Maulidi Barzanji - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Uongo wa Wanaosema kuwa Mkojo wa Mtume ni Twahiri - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Tafsiri ya Suratul-Kahf, Aya 109-110 - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Namna Abdallah Saleh Al-Farsy Alivyopendwa na Watu wa Zanzibar - Sheikh Saidi Musa wa Ugweno
Mambo Yanayomnufaisha Maiti - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Kisa cha Bibi Maryam bint Imran - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Mtume ﷺ Kafiwa Lakini Hakufanya Khitima - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy
Kaburi Kutiwa Ndani Ya Msikiti - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy
Kisa cha Ashabul Kahfi (Vijana Wa Pangoni) - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Historia Fupi ya Darsa za Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy Mombasa
Historia Ya Maulidi - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله
Mfano Wa Maisha Ya Dunia - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy رحمه الله