Al-hidayah online tv
Asalaam Alaykum warahmatullah wabarakatu. ndugu wapenzi wa Alhidayah online tv Napenda kuwajuza kuwa Lengo kubwa la channel yetu hii ni Kuzinduana/kukumbushana mambo yahusuyo Dini yetu tukufu ya Kiislam kuelimishana, Kupeana taarifa na Ikibidi Kusaidiana kwa hali zote. Sio channel ya Vichekesho au Mambo yasiyo ya Msingi/Masrahi ya dini.
Hivyo tunakaribisha Maoni Ushauri popote Ulipo duniani Lengo ni kufikisha ujumbe wa Mtume wetu Muhammad s.a.w. Ulimwenguni kote
🔴TAFADHALI
USISAHAU KUSUBSCRIBE
LIKE
+NA USHARE
+PIA WAWEZA CHANGIA KUPITIA LIPA NAMBA AIRTEL `13547433` YAS `7638500`
WHATSAPP +255 627 151 444 +255 739 151 444
+Email; [email protected]
[email protected]
Pia Tunapatikana kupitia
👉Facebook
👉Instargram
👉Tiktok
👉X (twater)
👉Teregram
👉Threads
Al-hidayah online tv
UONGOFU KWA ULIMWENGU.
UMOJA WA WANAZUONI WA KIISLAM MKOA WA MWANZA WAZUNGUMZA NA VYOMBO VYA HABARI
#Vipi Tunaishukuru Neema Tuliyonayo Kaarun Aliangamizwa kwa Kuikufuru Neema. Sheykh; Omary Chamtungi
Ewe Mwanadam ni kwanini Unakosa Huruma.? Sheikh Jamaludin Osman
#Uislam ni Siasa na Siasa ndio Uislam. Lakini sio Siasa hizi za Kidemokrasia. Sheykh: Hamza Mansoor
# Faida ya Istihifar. Hufungua Milango ya Rizki pia Hukukinga na kila Balaa. Dkt Islam Mohammed
#Mja hupokonywa Imani yake Kipindi Anapovunja Ahadi zake na kuwa Muongo . Sheykh: Jamaludin Osman
#Kama si tawfiq ya Allah Mwanadam wa sasa Hawezi kupata Nusra. Sheykh ; Said Bafanaa
#Matunda na Faida 10 za kuwa na Taqwa hapa Duniani Sheykh; Jamaludin Osman `Bujumbura-Burundi`
Ni Kwanini Yalitupata haya.? Sheykh: Shafii Ayoub Yousuf
Maajabu ya Viumbe Vitembeleao Majumba yetu Usiku/ Namna ya Kujikinga na Madhara. Dkt. Islam Muhammad
#Rizki haipatikani kwa Kuitamani tu. Ukiyataka Mafanikio yafanye haya. Sheykh: Shekue Hamza Mzonge
#Kafiri Anapotenda Mema Hapotezi Hulipwa Wema Zaidi hapa Duniani. Dkt Islam Muhaamad
#Mahafali ya Wahitimu Elimu ya Msingi Bismark primary School Mwanza tz 2025
23-Uanadam wa Mtume Muhammad صلى الله عليه وسلم Sheykh Hamim Yahya
Uovu wa Nafsi ya Mwanadam Hatari ya Dhambi ya Kuua Kisa cha Habil na Qabil. Dkt Islam Muhammad Salim
Ni Ipi Kiu ya Mwislam ktk Ulimwengu huu.? Sheykh: Ahmed Kassim
#Amani ya Tanzania Haijaletwa na Mtu. bali Allah ndie Alie Turuzuku . Sheykh: Shafi Ayoub Yousuf
#Ufalme Hutoka kwa Mwenyezi Mungu hata Akiwa Mtawala Muovu Dkt: Islam Mohammed Salim
#mambo 4 yaliyompa daraja la Uchamungu Imam Hassan al baswaly R.a Sheykh: Hamim Yahya
#Wajibu wetu ni Kuchagua Unyenyekevu badala ya Kibri . Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Hatari ya Umimi na Kuwadharau watu wengine. kisa cha watu 2. Dkt. Islam Muhammad Salim
#Kunamaisha Baada ya Uchaguzi. Ni maneno ya Rais Mteule Baada ya kukabidhiwa cheti cha Ushindi.
Ukiufata Mfumo huu wa Mtume Utaishi Maisha ya Furaha ktk Ulimwengu huu. Sheykh; Hassan Ahmed
#Sharti la Kumpinga na Kumuondosha Kiongozi Aliyeko Madarakani.. Sheykh: Shafi Ayoub Yousuf
#Wajibu wa Kumtii Kiongozi hata Akiwa Muovu na Sharti la Kumpinga. Sheykh; Shafi Ayoub Yousuf
Ijue Hukmu ya Kupinga Viongozi Walieko Madarakani kwa njia hii. Sheykh; Shafi Ayoub Yousuf
Asili/Msingi wa Makundi yenye Fikra za Uasi na Kupinga Viongozi. Sheykh; Shafi Ayoub Yousuf
#Jahazi likizama Tutazama sote Mwislam kuwa mtu wa mwisho Usitumike. Sheykh. Amani Mussa Mauba
Ukitaka Kupendwa na Binadamu Usimuombe na Ukitaka kupendwa na Allah Muombe. Dkt Islam mohammed Salim