HABARI JIMBO KATOLIKI GEITA
JIMBO KATOLIKI GEITA HABARI
Mtazamaji karibu katika channel hii rasmi ya "Jimbo Katoliki Geita Habari"
inayokuletea habari na matukio yote ya Uinjilishaji ndani ya Jimbo. utapata Misa za Dominika, Upadrisho, Kwaya, mahubiri na tafakari mbalimbali, bila kusahau habari za maendeleo kimwili na kiroho hasa kutoka Taasisi zetu za Jimbo Katoliki Geita. usisahau ku- SUBSCRIBE, ku - LIKE na ku - SHARE. Ofisi zetu zipo Makao Makuu ya Jimbo, Katika Halmashauri ya Mji wa Geita, Barabara ya nendeni na Amani, Kata ya Buhalahala Mtaa wa Jimboni.
Hebu Sikiiza kitu hapa St. Anatoli School Jimbo Katoliki Geita.
Mazito! Hatimaye Benki ya Mkombozi yafunguliwa Geita Jimboni!
Makubwa! Imani Katoliki ikiingia kwa Mtu haitoki "Ng'o" Msikilize Januari Kutoka Kome!
SHUHUDIA KISHINDO KONGAMANO LA VIJANA GEITA. ASKOFU AWAASA "Msimwogope Yesu ni Rafiki wa Vijana".
Lo kumbe Wasukuma humuona Mungu ktk Nguvu za Asili? Humwita "Nyanhalemelwaa"
Mantare pamejaa Huzuni. Tazama Askofu Nkwande alivyoweka Udongo Kaburi la Mdogo wake Joseph
Huzuni; Askofu Nkwande Amzika mdogo wake Joseph. Mama amlilia Mwanawe!
Askofu R. Nkwande Afiiwa na mdogo wake, Azikwa Sumve Mantare.
Ajabu! Askofu F. Kassala atembelea SUDANI KUSINI. Hebu Ona Mazito aliyofanya!
Askofu Ruwaichi Ang'aka! "HAKUNA AMANI BILA HAKI"
IJUE PAROKIA KONGWE YA BUKUMBI JIMBO KUU MWANZA.
PD. R. IBENGWE BUKUMBI AFICHUA MAZITO KIIMANI NDANI YA KANISA KATOLIKI
Ona Hizi Kazi nzuri za Masista wa Mt. Theresia Bukoba!
SHUHUDIA! MAPADRE HAKUNA WANACHOSHINDWA
SIRI KUBWA! Kila anayekuja Kusoma hapa kwa Masista St. Theresa Hakosi Ajira! SUBSCRIBE!
Lo, kumbe Masista Katoliki wana mambo mazito hivi? Usiache ku SUBSCRIBE:
Dah! Itakutoa Machozi Historia ya Sr. Huyu wa Nyaigando! Mtu hupataje wito wa Utawa?
Yajue Maisha ya Utawa kutoka Nyaigando. Kwa nini Masista wana Furaha Maishani?
Lijue Shirika la Masista Mt. Theresa Bukoba Nyumba ya Nyaigando na Kazi zao!
JIONEE! Mapadre Geita Wanavyomudu ALA za Muziki! Wasali peke yao - Kwaya Nzuri
Mapadre Geita Wamesali Misa (Mafungo) Peke yao. Pd. Makonge asisitiza Amani.
Utoto Mtakatifu Sengerema wamejitosa kuinjilisha Visiwani!
BALAZA LA MAASKOFU TEC LIMEKANUSHA WARAKA FEKI UNAOSAMBAA MITANDAONI.
LO.. ! Sikiliza Padre wa Mwanza alivyosoma Enjili Dom 28 Mwaka C kwa kushangaza!
ASKOFU KASSALA AOMBA ARDHI ZILIZOTAIFISHWA ZIRUDISHWE.
SHANGWE! MASISTA CDNK WALIVYOMPONGEZA SR. LOIS GEITA
Namna hii Pd. Billingi Atimiza Miaka 25 akiwa na Kisukari.
SR. LOIS (CDNK) GEITA AWEKA NADHIRI ZA DAIMA
JE, UNAIJUA NJIA YA WATUMWA MKOANI TABORA 1880? HEBU TAZAMA HII
LIVE: Misa Takatifu ya Jubilei Miaka 100 Seminari Kipalapala.