Gachagua asema wabunge wa Mlima Kenya wanaomtema ni majasusi wa UDA
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2026-01-19
Просмотров: 7773
Kinara wa DCP Rigathi Gachagua amewapuuzilia mbali viongozi wanaoendelea kujitenga naye, akisema wanaoondoka walikuwa majasusi wa rais William Ruto chamani mwake. Takriban wabunge 10 kutoka mlima kenya wamemtema Gachagua wakidai kuchezewa shere katika jitihada zao za kupata tikiti ya kugombea mwaka ujao.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: