BEI KITONGA VIWANJA VIZURI VYA KUJENGA NA KUJIDAI VIKINDU_DAR ES SALAAM
Автор: Aisam Property
Загружено: 2022-08-08
Просмотров: 1671
Mradi huu si wa kukosa njoo ujipatie viwanja vizuri kwa bei nafuu sana Katika maeneo ya Dar es salaam na Pwani.
Kwa sasa tuna mradi mzuri wa viwanja katika maeneo ya Vikindu-Vianzi ambapo panafikika kirahisi sana kwa nyanja mbali mbali za usafiri.
Viwanja vina ukubwa tofauti tofauti inategemea na mahitaji yako kwani vipo viwanja vyenye ukubwa kuanzia Sqm 200,400,600,800 na kuendelea.
Kwa kiwanja chenye ukubwa wa sqm 200 unakipata kwa Tsh. 950,000/= tu tena unaruhusiwa kulipa kwa Awamu hadi miezi mitatu.
Kuja kuona viwanja vyetu ni bure kabisa hakuna malipo yoyote hivyo unachotakiwa ni kufika vikindu kisha kutupigia kwa namba hizi 0747141871 kadhalika tunapatikana Kwenye mitandao ya kijamii kama vile Facebook,Twitter na
Instagram na mitandao mingine.
Wewe kama kijana unashauriwa kuja kujipatia viwanja katika eneo tambarare ambali lina fursa na huduma za kijmii kama zoooote!
Gusa link yoyote hapo chini kufahamu zaidi.
WHATSAPP
https://wa.me/message/YQV3GODTP2FKE1
FACEBOOK
/ sadammpacha
INSTAGRAM
https://www.instagram.com/invites/con...
PINTEREST
https://pin.it/41r7Mpd
TWITTER
https://twitter.com/AisamBestland?t=r...
#viwanjavizuri #makazisalama #hatimiliki #viwanjavinavyouzwa #simbanayangaleo #simba #yanga #michezo #mamasamia #royaltour #viwanjakigamboni #viwanjakibaha #wahisasa #habarileo #makaziyakiyopimwa #viwanjavinavyouzwa
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: