USIKATE TAMAA KILA JAMBO NA WAKATI WAKE | EV.WILSON ZAYOGA.
Автор: TUMAINI MOJA
Загружено: 2025-11-17
Просмотров: 53
Bwana akubariki sana.
MUHUBIRI 3
1 Kwa kila jambo kuna majira yake, Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.
2 Wakati wa kuzaliwa, na wakati wa kufa; Wakati wa kupanda, na wakati wa kung'oa yaliyopandwa;
3 Wakati wa kuua, na wakati wa kupoza; Wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga;
4 Wakati wa kulia, na wakati wa kucheka; Wakati wa kuomboleza, na wakati wa kucheza;
5 Wakati wa kutupa mawe, na wakati wa kukusanya mawe; Wakati wa kukumbatia, na wakati wa kutokumbatia;
6 Wakati wa kutafuta, na wakati wa kupoteza; Wakati wa kuweka, na wakati wa kutupa;
7 Wakati wa kurarua, na wakati wa kushona; Wakati wa kunyamaza, na wakati wa kunena;
8 Wakati wa kupenda, na wakati wa kuchukia; Wakati wa vita, na wakati wa amani.
9 Je! Mtendaji anayo faida gani katika yale anayojishughulisha nayo?
10 Nimeiona taabu ambayo Mungu amewapa wanadamu, ili kutaabika ndani yake.
11 Kila kitu amekifanya kizuri kwa wakati wake; tena ameiweka hiyo milele ndani ya mioyo yao; ila kwa jinsi mwanadamu asivyoweza kuivumbua kazi ya Mungu anayoifanya, tangu mwanzo hata mwisho.
12 Mimi najua ya kwamba hakuna jema kwao kupita kufurahi, na kufanya mema maadamu wanaishi.
#imani #motivation #love #tumainimoja #live #prayer #mahubiritv TV #hope
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: