Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

MAMBO YA KUZINGATIA KWA KILIMO BORA CHA VITUNGUU MAJI 2021

Автор: MKULIMA SMART TV

Загружено: 2021-09-01

Просмотров: 111676

Описание:

KILIMO BORA CHA VITUNGUU MAJI

Katika shamba lililo hudumiwa vizuri na kupandwa katika hali ya hewa na aina ya mbengu. Vitunguu hutoa kiasi cha tani (10) hadi 16 kwa ekari moja.

MATUNZO YA BUSTANI YA VITUNGUU
PALIZI
Mmea wa kitunguu una mizizi mifupi, hii husababisha kutunguu kuathirika sana na ushindani na magugu. Mizizi mifupi ina maana huufanya kukosa uwezo wa kustahimili ushindani wa magugu.
Magugu yana uwezo mkubwa wa kufyonza virutubisho ardhini kuliko mimea ya mazao, na ndio maana magugu hukua kwa haraka kuliko mazao. Hivyo inashauriwa katika shamba la vitunguu hakikisha unafanya palizi kwa wakati.
Idadi ya palizi inategemea na aina na wingi wa magugu wa eneo husika. Kwenye ameneo yenye magugu mengi, palizi hufika hadi 4, na kwa maeneo ambapo magugu sio tatizo palizi mbili zinatosha.
UMWAGILIAJI
Zao la vitunguu linahitaji maji ya kutosha katika kipindi chote cha ukuaji wa mmea na hasa wakati wa kutunga tunguu. Katika kipindi kisicho na mvua (mwezi mei hadi Agosti) Umwagiliaji ufanyike mara moja kwa wiki kwa udongo wa mfinyanzi tifutifu na vitunguu vilivyopandwa katika vijaruba.
Ili kuharakisha kukomaa kwa vitunguu unashauriwa kupunguza kiasi cha maji ya kumwagilia taratibu kadri zao linavyo kua. Pia ni vizuri uache kumwagilia maji mapema wiki nne hadi sita kabla ya kuvuna. Kwani muda kamili wa kukomaa na kuvuna kwa vitunguu ni siku 90 hadi 150 kutegemea na aina ya mbegu.
UVUNAJI WA VITUNGUU
Muda wa ukomaaji wa vitungu hutegemea aina ya vitunguu pamoja na hali ya hewa ya eneo husika. Aina za chotora (hybrid) mara nyingi hukomaa mapema, huchukua miezi 3 hadi 5 baada ya kusia mbegu. Aina za kawaida (OPV) na zile za kienyeji hazina ukomaaji unaofanana (do not mature uniformly), hukomaa kwa makundi makundi.


UKAUSHAJI WA VITUNGUU.
Baada ya kuvuna kitunguu, hatua inayofuata ni ukaushaji (curing) na hii inafanyikia palepale shambani. Kukausha kitunguu ni ule mchakato wa kukausha ile shingo ya kitunguu. Shingo ya kitunguu inapokauka inakifunga kitunguu, pia inaziba njia ambazo zinaweza kutumiwa na vijidudu kuingia ndani kuharibu kitungu.
Ukaushaji pia husaidia kupata kitunguu chenye ngozi iliyokauka na yenye rangi nzuri.

UHIFADHI WA VITUNGUU (STORAGE)
Kitungu ndio zao lenye uwezo wa kuhifadhika kwa muda mrefu zaidi kuliko mazao yote ya mboga mboga. Kitunguu baada ya kuvunwa bado kinakua ni kiumbe kinachoishi (living organism) ikimaanisha kinaenelea na michakato kama kupumua, kupoteza maji n.k Hivyo uhifadhi wake unahitaji umakini ili kuweza kukaa muda mrefu bila kuharibika.
MATUMIZI YA MBOLEA.


1. MBOLEA KUNDI LA KWANZA.

➡Mbolea za kupandia.
Hizi huwekwa kabla au mara tu ya kuhamishia miche shambani. Mbolea hizi zina lengo la kusaidia ukuaji mzuri wa mifumo ya mzizi (root systems) itakayosaidia mmea kufyonza virutubisho na maji kutoka ktk udongo.

Mbolea hizi zina madini/ kirutubisho kikuu cha fosforasi (P), na huitwa mbolea za fosfeti (Phosphate Fertilizers), kundi hili lina mbolea kama MOP, TSP, DAP, Minjingu n.k.

2. MBOLEA ZA KUKUZIA
Mbolea hizi huwekwa kipindi cha ukuaji wa mmea (vegetative growth) na hua na lengo la kuupa mmea afya na ukuaji mzuri utakaopelekea kuwa na majani mazuri yatakayotengeneza chakula cha kutosha kwaajili ya mmea.
Kirutubisho kikuu katika kundi la mbolea hizi ni Nitrogen (N). Baadhi ya mbolea zilizopo kwenye kundi hili ni pamoja na UREA, SA, CAN n.k.

Pia kwenye kundi hili zipo mbolea za maji zinazopigwa kwenye majani (foliar fertilizers) hujulikana pia kama booster.

3. MBOLEA ZA KUZALISHA/KUKOMAZIA KITUNGU

KILIMO CHA VITUNGUU MAJI

KILIMO CHA KITUNGUU MAJI:- MBOLEA YA KUKUZIA ...

#mkulimasmart
#shambadarasa
Jinsi Ya Kufanya Kilimo Cha Vitunguu Maji 2021

KILIMO BORA CHA VITUNGUU MAJI

MAELEZO YA MSINGI KUHUSU KILIMO CHA VITUNGUU

Kanuni za kilimo bora cha vitunguu maji

kilimo cha kitaalamu cha vitunguu maji Tanzania.


FAIDIKA NA KILIMO CHA VITUNGUU MAJI.

uzalishaji wa vitunguu kibiashara

bei ya mbegu za vitunguu maji
bei ya vitunguu maji kwa gunia 2021
bei ya vitunguu maji 2020
heka moja ya vitunguu inatoa gunia ngapi
changamoto za kilimo cha vitunguu
kilimo cha vitunguu maji pdf
bei za mbegu za vitunguu
kilimo cha vitunguu maji dodoma

MAMBO YA KUZINGATIA KWA KILIMO BORA CHA VITUNGUU MAJI 2021

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

How to improve Onion production in Kenya - Part 1

How to improve Onion production in Kenya - Part 1

Никогда больше не покупайте лук | Как вырастить много лука из ботвы дома

Никогда больше не покупайте лук | Как вырастить много лука из ботвы дома

MWANAMKE ALIYELIMA EKA MOJA YA VIAZI NA KUPATA FAIDA MILIONI 8 AHOJIWA, DC NJOMBE AWAPELEKA BBT

MWANAMKE ALIYELIMA EKA MOJA YA VIAZI NA KUPATA FAIDA MILIONI 8 AHOJIWA, DC NJOMBE AWAPELEKA BBT

Umwagiliaji na upandaji wa Vitunguu Maji

Umwagiliaji na upandaji wa Vitunguu Maji

Kilimo Na Biashara | Onion Farming

Kilimo Na Biashara | Onion Farming

How to Plant, Grow and Harvest Onions from Start to Finish: Full Instructional Video

How to Plant, Grow and Harvest Onions from Start to Finish: Full Instructional Video

Onion Farming in Zambia: 2021 Update 2 (Aug 23): Update on the Onions on Riverside 1

Onion Farming in Zambia: 2021 Update 2 (Aug 23): Update on the Onions on Riverside 1

KILIMO BORA CHA VITUNGUU MAJI  I  MAMBO YA KUZINGATIA | MBEGU BORA ZA VITUNGUU | KILIMO CHA KISASA

KILIMO BORA CHA VITUNGUU MAJI I MAMBO YA KUZINGATIA | MBEGU BORA ZA VITUNGUU | KILIMO CHA KISASA

Kilimo Cha Vitunguu ni Bilaa !! Ekari Moja Tani 30 Sawa na Million 30 Na zaidi 🙌🙆🤯

Kilimo Cha Vitunguu ni Bilaa !! Ekari Moja Tani 30 Sawa na Million 30 Na zaidi 🙌🙆🤯

The 2 Most Important Tips for Growing Big Onions

The 2 Most Important Tips for Growing Big Onions

Youth in Agriculture: How to turn your onion farm into a profitable business - part one

Youth in Agriculture: How to turn your onion farm into a profitable business - part one

How to improve Onion production in Kenya - Part 2

How to improve Onion production in Kenya - Part 2

MKULIMA ANAEPATA MILIONI 1.5 KWA MWEZI KUPITIA KILIMO CHA NYANYA

MKULIMA ANAEPATA MILIONI 1.5 KWA MWEZI KUPITIA KILIMO CHA NYANYA

Сельское хозяйство и бизнес | Выращивание чеснока

Сельское хозяйство и бизнес | Выращивание чеснока

Tengeneza zaidi ya Milioni 8 kwa ekari moja ya vitunguu

Tengeneza zaidi ya Milioni 8 kwa ekari moja ya vitunguu

kilimo boracha vitunguu swaumu

kilimo boracha vitunguu swaumu

SHAMBANI KILIMO CHA KITUNGUU 2022

SHAMBANI KILIMO CHA KITUNGUU 2022

BASHE AKOSHWA NA MKULIMA WA VITUNGUU WA KILIMO CHA UMWAGILIAJI KATIKA ENEO LA KIZUKA, MKOANI RUVUMA

BASHE AKOSHWA NA MKULIMA WA VITUNGUU WA KILIMO CHA UMWAGILIAJI KATIKA ENEO LA KIZUKA, MKOANI RUVUMA

UZALISHAKI WA VITUNGUU

UZALISHAKI WA VITUNGUU

Kilimo bora cha vitunguu na mbolea za Yara,Ushuhuda wa Bw.Martin Marmo-Karatu

Kilimo bora cha vitunguu na mbolea za Yara,Ushuhuda wa Bw.Martin Marmo-Karatu

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]