Rais aamrisha wakazi kusalimisha bunduki haramu
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2025-12-22
Просмотров: 1945
Rais William Ruto amewaamrisha wanaoishi kwenye maeneo yanayokubwa na machafuko huko Narok kurejesha bunduki haramu mara moja. Rais ameapa kuhakikisha kuwa amani imerejea eneo la Transmara. Watu kadhaa wameuwawa na mamia kuhama kwao baada ya nyumba zao kuteketezwa.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: