SERIKALI KUTOKOMEZA MASHINE HARAMU ZA KAMARI
Автор: Daily News Digital
Загружено: 2024-12-24
Просмотров: 1270
DAR ES SALAAM: BODI ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT) imetoa elimu kwa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam, kukabiliana na mashine harama za michezo ya kubahatisha ili kusaidia kuratibu sekta ya michezo ya kubahatisha hususani mashine za madubwi.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Michezo ya Kubashiri Tanzania (GBT), James Mbalwe kwa niaba ya Waziri wa Tamisemi, Mohamed Mchengerwa ambapo amebainisha kuwa kupitia semina hiyo itasaidia kufanikisha kampeni ya kufichua tukomeshe mashine haramu ili kumaliza changamoto zilizojitokeza.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: