#live
Автор: MOTIVE TV_TANZANIA
Загружено: 2022-05-28
Просмотров: 5967
KUWA MSAIDIZI WA ASKOFU.
Mwanasiasa Mkongwe Jijini Arusha na mfanya bishara mkubwa na maarufu hapa nchini Dkt Philimon Mollel maaru Monabani amegeukia madhabau ya bwana na kuipa mgogo siasa kwasasa.
Leo Mei 28,2022 Katika viunga vya Ngulelo Jijini Arusha Dkt Philimon Mollen amesimikwa kuwa msaidiwa Askofu wa katika kanisa la Kiruteli la Afrika Mashariki.
Awali alismikwa Askofu wa kanisa Jimbo la Arusha Dkt Philemon Langai Mollel ambaye alimsimika Dkt Philemon Olais Mollel ( MONABAN ).
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: