Othman: Patachimbika uchaguzi mkuu 2025
Автор: Migayo 24
Загружено: 2023-09-20
Просмотров: 69181
.Asema wakiwavuruga, watavurugana
.Awataka Polisi kusimamia haki
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Othman Masoud Othman ametoa kauli nzito inayoashiria kutakuwa na patashika katika uchaguzi mkuu 2025 endapo hautakuwa wa haki na huru
Othman aliyepata pia kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, alitoa kauli hiyo nzito leo wakati akihutubia mkutano wa viongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo uliofanyika Ukumbi wa Gombani Chake Chake Pemba
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: