Wafanyakazi wa KBC watoa risala zao kufuatia kifo cha Mambo Mbotela
Автор: KBC Channel 1
Загружено: 2025-02-07
Просмотров: 1089
Shirika la utangazaji la Kenya na tasnia ya uanahabari kwa jumla inaomboleza kifo cha mtangazaji nguli Leonard Mambo Mbotela ambaye alihudumia shirika hili kwa zaidi ya miaka 60. Mbotela aliyefariki leo asubuhi akiwa na umri wa miaka 85 ametajwa na wafanyakazi wenzake na washirika wake wa karibu kuwa mshauri na mtu ambaye alikuwa mcheshi.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: / kbcchannel1tv
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: