Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

PPRA, VETA zaingia makubaliano ya kuibua na kusajili vikundi maalum

Автор: The Chanzo

Загружено: 2025-11-20

Просмотров: 141

Описание:

Dodoma: Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma PPRA na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi VETA zimetia saini hati ya mkataba wa makubaliano wa kuibua na kusajili makundi maalum, lengo likiwa ni kutoa fursa za tenda za Serikali zilizotengwa kwa ajili ya makundi hayo.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa PPRA Denis Simba amesema, mpaka sasa jumla ya vikundi takriban 1000 vimejisajili kwenye mfumo wa NeST.

“Sheria yetu inatuelekeza iwe ni kundi kati ya watu watano mpaka watu 20. Na hapo, tumekimbia marathon miezi michache iliyopita mwaka jana nakumbuka tulikuwa na makundi 185, pamoja na kufanya kampeni nchi nzima. Lakini baada ya kuongeza kasi leo tumeona tumeongezeka kwa zaidi ya asilimia 700, 800,” amesema Mkurugenzi huyo Novemba 20, 2025 mkoani Dodoma.

“Na kwa maana hiyo vimeweza kuomba zabauni, na mikataba yenye thamani ya takriban bilioni 30 imeshatolewa kwa makundi maalum. Sasa mnaona hii gepu kubwa, tukitekeleza wote tutafikia trilioni tano [5]. Tunahitaji kuongeza kasi, ya kuwafikia wananchi.”

The goal is to increase the participation of special groups in Government tender opportunities.

You can follow us via;

TWITTER:   / thechanzo  
INSTAGRAM:   / thechanzo  
FACEBOOK:   / thechanzo  
TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Or visit our website: https://www.thechanzo.com

Do you have news? contact us via Telegram/WhatsApp +255 753 815 105

The Chanzo 2025 © All Rights Reserved.

PPRA, VETA zaingia makubaliano ya kuibua na kusajili vikundi maalum

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

Wahariri wa Habari Wambana Maswali Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, 'Tumefikaje Hapa

Wahariri wa Habari Wambana Maswali Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, 'Tumefikaje Hapa"

SAMIA Akisafiri Kwa Treni  Katika Reli ya SGR Kutoka Dar Mpaka Dodoma

SAMIA Akisafiri Kwa Treni Katika Reli ya SGR Kutoka Dar Mpaka Dodoma

Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

Mwanzo Mwisho Alichokisema Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba kwa Wahariri wa Habari na Waandishi

Mwanzo Mwisho Alichokisema Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba kwa Wahariri wa Habari na Waandishi

Wakili Aeleza Anachofahamu Kuhusu Mamia ya Vijana Waliopewa Kesi Kufuatia Matukio ya Oktoba 29

Wakili Aeleza Anachofahamu Kuhusu Mamia ya Vijana Waliopewa Kesi Kufuatia Matukio ya Oktoba 29

JUKWAA LA WAANDISHI WA HABARI WALIVYOMBANA WAZIRI MKUU MWIGULU, TUMEPOTEZA UWAMINIFU KWA WANANCHI

JUKWAA LA WAANDISHI WA HABARI WALIVYOMBANA WAZIRI MKUU MWIGULU, TUMEPOTEZA UWAMINIFU KWA WANANCHI

Prof Shivji Afunguka Uamuzi wa Mahakama Kuruhusu Rais, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Kushitakiwa

Prof Shivji Afunguka Uamuzi wa Mahakama Kuruhusu Rais, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Kushitakiwa

MC PILIPILI AMPIGIA MKEWE LIVE BILA TAARIFA, SIKIA MAZUNGUMZO YAO

MC PILIPILI AMPIGIA MKEWE LIVE BILA TAARIFA, SIKIA MAZUNGUMZO YAO

DKT. MWINYI AZINDUA HOTELI KUBWA YA KIFAHARI - KIWENGWA

DKT. MWINYI AZINDUA HOTELI KUBWA YA KIFAHARI - KIWENGWA

#LIVE Waziri Mkuu Mwigulu Nchemna na Wahariri wa Vyombo vya Habari

#LIVE Waziri Mkuu Mwigulu Nchemna na Wahariri wa Vyombo vya Habari

LEMA Asimulia GWAJIMA ALIVYOMWAMBIA LISSU

LEMA Asimulia GWAJIMA ALIVYOMWAMBIA LISSU "Usiende Dodoma, Utapigwa RISASI"

Watu Wangapi Wamekufa Kufuatia Oktoba 29? Waziri Mkuu Nchemba Aeleza Kwa nini Takwimu Hazitatolewa

Watu Wangapi Wamekufa Kufuatia Oktoba 29? Waziri Mkuu Nchemba Aeleza Kwa nini Takwimu Hazitatolewa

MAPYA YAIBUKA SAKATA LA UWANJA WA DODOMA KUJENGWA NA MOROCCO | IDADI YA WATU NDIYO INAAMUA UKUBWA

MAPYA YAIBUKA SAKATA LA UWANJA WA DODOMA KUJENGWA NA MOROCCO | IDADI YA WATU NDIYO INAAMUA UKUBWA

WAZIRI MKUU MWIGULU kwa UKALI AFICHUA MCHEZO MCHAFU UNAOENDELEA -

WAZIRI MKUU MWIGULU kwa UKALI AFICHUA MCHEZO MCHAFU UNAOENDELEA - "INAKASIRISHA - WANAGAWA WATU"..

MWIGULU BILA UOGA ATOA KAULI KUHUSU WATU KUTEKWA NA KUPOTEA/TUKAE TUZUNGUMZE''

MWIGULU BILA UOGA ATOA KAULI KUHUSU WATU KUTEKWA NA KUPOTEA/TUKAE TUZUNGUMZE''

Msigwa Aulizwa Maswali na Waandishi, Suala la Disemba 9 Laibuka

Msigwa Aulizwa Maswali na Waandishi, Suala la Disemba 9 Laibuka

NILIKATAA kufanya MAPENZI na Mwanaume Mwenzangu nikamwagiwa TINDIKALI

NILIKATAA kufanya MAPENZI na Mwanaume Mwenzangu nikamwagiwa TINDIKALI

KATOLIKI MUNAVYOTAKA NA SISI TUNATAKA, MTAKAONDAMANA TUKUTANE DEC 9 -IBRAHIM BAKOZI

KATOLIKI MUNAVYOTAKA NA SISI TUNATAKA, MTAKAONDAMANA TUKUTANE DEC 9 -IBRAHIM BAKOZI

KAULI YA WAZIRI MKUU YAMUIBUA WAKILI WA GWAJIMA! SAKATA LA KUFUNGULIWA KWA MAKANISA YA UFUFUO NA....

KAULI YA WAZIRI MKUU YAMUIBUA WAKILI WA GWAJIMA! SAKATA LA KUFUNGULIWA KWA MAKANISA YA UFUFUO NA....

Стрельба у Белого дома / Захват власти военными

Стрельба у Белого дома / Захват власти военными

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]