Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

KIGOGO WA ACT WAZALENDO APINGA MPINA KUGOMBEA URAIS, ADAI KANUNI ZIMEKIUKWA “SITUMIKI NA YEYOTE”

Автор: Millard Ayo

Загружено: 2025-08-16

Просмотров: 12210

Описание:

Mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo, Katibu Mwenezi wa ACT Mkoa wa Dar es salaam ambaye pia ni Naibu Waziri Kivuli wa Sanaa, Utamaduni na Michezo katika Baraza Kivuli la Mawaziri la ACT Wazalendo, Monalisa Ndala amepinga uamuzi wa Chama hicho, kumteua Luhaga Mpina kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, akidai amekosa sifa kwakuwa kanuni za Chama hicho zimekiukwa wakati wa mchakato wa kumteua.

Monalisa amemuandikia barua Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu August 14,2025 akimtaarifu kwamba Mpina hajakidhi kanuni za kudumu za uendeshaji wa hicho, toleo la mwaka 2015 akisema vipengele kadhaa vya kanuni namba 16 inayozungumzia sifa za Mgombea ndani ya Chama na wanaoomba kuteuliwa kugombea ACT Wazalendo, vimekiukwa.

Mwandishi wa @AyoTV_, Bakari Chijumba amemtafuta Monalisa kwa njia ya simu ambapo amethibitisha kuwa ni kweli ameandika barua hiyo kwa Katibu Mkuu lakini haijajibiwa na kwamba ameamua kuisambaza mtandaoni ili kuomba nguvu ya Umma isaidie kushinikiza barua yake kujibiwa huku akisisitiza kuwa hana chuki binafsi na Mpina na wala hatumiki na Mtu au Kikundi chochote kufanya hivyo bali amechukua hatua hiyo kukinusuru Chama kisipoteze Mgombea kwa kukosa sifa.

Monalisa amesema ‘Kanuni namba 16 (4) Mgombea urais / Viongozi wa ACT ngazi ya Taifa, lazima awe Mwanachama wa ACT Wazalendo kwa muda usiopungua mwezi mmoja kabla ya tarehe ya mwisho ya uteuzi ya Mgombea wa Chama, Mgombea wetu aliyejiunga siku mbili kabla ya kuteuliwa kuwa Mgombea Urais baada ya kuenguliwa kuwania ubunge kwa chama chake cha zamani (CCM) July 28, 2025”

Monalisa pia amesema Mpina amepingana na kanuni namba16 (4) (iii) inayosema awe tayari kutangaza mali binafsi na vyanzo binafsi kabla ya kuteuliwa kugombea kwa kufuata utaratibu ulioanishwa sehemu ya (vii) ya nyongeza ya Katiba ya ACT Wazalendo na kusema amevunja kanuni hii kwa kuwa hadi anatangazwa kuteuliwa kuwa Mgombea, hakuna pahala popote ameonesha kutangaza mali zake, Mpina amekiuka pia kanuni muhimu namba 16 (4) (iv)inayomuhitaji kuelewa itikadi, falsafa, misingi na sera za ACT Wazalendo kama inayosomea ‘awe ni mtu aliyethibitika kuielewa itikadi, falsafa, misingi na sera za ACT Wazalendo na aonyeshe utayari wa kuisimamia na kuuishi”

@AyoTV_ imefanya jitihada za kumtafuta Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu bila mafanikio ambapo juhudi za kumpata ili kupata kauli yake zinaendelea.
#MillardAyoUPDATES

KIGOGO WA ACT WAZALENDO APINGA MPINA KUGOMBEA URAIS, ADAI KANUNI ZIMEKIUKWA “SITUMIKI NA YEYOTE”

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI.....DESEMBA 14,  2025

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI.....DESEMBA 14, 2025

CCM Yageuka Uwanja wa Vita Orodha Ya Wanaowindwa Na Samia Imeibuka, MMoja Keshakufa

CCM Yageuka Uwanja wa Vita Orodha Ya Wanaowindwa Na Samia Imeibuka, MMoja Keshakufa

LUHAGA MPINA NA WAZIRI BASHE WAPARURANA JUKWAANI KILA MTU AMRUSHIA MWENZAKE KIJEMBE KWA NYIMBO

LUHAGA MPINA NA WAZIRI BASHE WAPARURANA JUKWAANI KILA MTU AMRUSHIA MWENZAKE KIJEMBE KWA NYIMBO

HISTORIA YA IKULU YA MAGOGONI-DAR ES SALAA NA CHAMWINO-DODOMA

HISTORIA YA IKULU YA MAGOGONI-DAR ES SALAA NA CHAMWINO-DODOMA

Путин уступил Зеленскому? / Москва заявила об отводе войск

Путин уступил Зеленскому? / Москва заявила об отводе войск

MPINA ABANANISHWA KWA MASWALI MAZITO NA ODEMBA/AMUULIZA MASWALI YA MTEGO/MPINA ADUWAAA..

MPINA ABANANISHWA KWA MASWALI MAZITO NA ODEMBA/AMUULIZA MASWALI YA MTEGO/MPINA ADUWAAA..

RC CHALAMILA

RC CHALAMILA "UHABA WA MAJI DSM"|AFANYA ZIARA KWENYE VYANZO|ATAKA MIKAKATI HII

Mwanzo Mwisho Luhaga Mpina Akifunguka Nyumbani Kwao Kisesa Mkoani Simiyu

Mwanzo Mwisho Luhaga Mpina Akifunguka Nyumbani Kwao Kisesa Mkoani Simiyu

Mpina Awashukia Wanaomtia Moyo Samia, Ataka Wajiandae Kumpa Pole

Mpina Awashukia Wanaomtia Moyo Samia, Ataka Wajiandae Kumpa Pole

Эти 8 Фраз выдают Глупца за секунду! Вы слышите эти фразы каждый день! Еврейская мудрость

Эти 8 Фраз выдают Глупца за секунду! Вы слышите эти фразы каждый день! Еврейская мудрость

LAZIMA MPINA AONDOLEWE ASIGOMBEE URAIS | MPINA ANA HASIRA ATATUVURUGA-MONALISA NDALA MWENEZI ACT

LAZIMA MPINA AONDOLEWE ASIGOMBEE URAIS | MPINA ANA HASIRA ATATUVURUGA-MONALISA NDALA MWENEZI ACT

GUMZO

GUMZO "GWAJIMA AINGIA 18 ZA MAJESHI" WANAOGOPA KUTENGULIWA | BUNGE LATAKIWA KUINGILIA KATI JESHI

BREKING NEWS || OTHMAN MASOUD ATOA KAULI NZITO MCHANA HUU

BREKING NEWS || OTHMAN MASOUD ATOA KAULI NZITO MCHANA HUU

ACT WAZALENDO WAVURUGANA, WAMTOLEA UVIVU MPINA KUVUNJA KANUNI ZA UCHAGUZI.

ACT WAZALENDO WAVURUGANA, WAMTOLEA UVIVU MPINA KUVUNJA KANUNI ZA UCHAGUZI.

Майк Тайсон против Двойника Али! Кончилось плохо...

Майк Тайсон против Двойника Али! Кончилось плохо...

WAGOMBEA  ACT-WAZALENDO WALIWEKA NJIA PANDA JIMBO GEITA MJINI, MPINA ATAJWA KWENYE SAKATA.

WAGOMBEA ACT-WAZALENDO WALIWEKA NJIA PANDA JIMBO GEITA MJINI, MPINA ATAJWA KWENYE SAKATA.

Операция по захвату Patriot: как спецназ увёз главный щит США. Трофей века.

Операция по захвату Patriot: как спецназ увёз главный щит США. Трофей века.

ОДИН ЗУБЧИК ЧЕСНОКА НА НОЧЬ — И МОЧЕВОЙ ПУЗЫРЬ РАБОТАЕТ СПОКОЙНЕЕ.

ОДИН ЗУБЧИК ЧЕСНОКА НА НОЧЬ — И МОЧЕВОЙ ПУЗЫРЬ РАБОТАЕТ СПОКОЙНЕЕ.

ШОКИРУЮЩЕ: Россия открывает новый фронт — НАТО застигнуто врасплох | Джон Миршаймер

ШОКИРУЮЩЕ: Россия открывает новый фронт — НАТО застигнуто врасплох | Джон Миршаймер

⚡️ Взрыв в тылу НАТО || Ответный удар России

⚡️ Взрыв в тылу НАТО || Ответный удар России

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]