“Serikali mnafanya mambo ya ajabu, mtufukuze na sisi” –Musukuma
Автор: Millard Ayo
Загружено: 2018-04-06
Просмотров: 1340369
Mbunge wa Geita Joseph Musukuma ameshauri Wabunge wote kuungana kuishinikiza Serikali kutoa tamko la kuwarudisha kazini watumishi wote waliofukuzwa kazi kwa kigezo cha kuishia darasa la saba ikiwa wamezitumikia nafasi zao hizo kwa muda mrefu
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: