WASANII WENYE MADEMU WAREMBO ZAIDI TANZANIA – Namba 1 Haitaaminiwa!
Автор: MIZUKA MEDIA
Загружено: 2025-05-20
Просмотров: 3612
Karibu MIZUKA MEDIA! Katika video hii tumeandaa orodha ya wasanii 10 wa Tanzania waliobahatika kuwa na mademu au wake warembo zaidi—wengine ni wake zao halali, wengine ni wapenzi waliowahi kuhusishwa nao kimapenzi.
Kutoka kwa Nandy na Billnass, hadi Diamond Platnumz na Zuchu, hadi Marioo na Paula, orodha hii itakuacha mdomo wazi!
Lakini cha kushangaza zaidi ni namba ya kwanza—hautaiamini kabisa!
Tazama hadi mwisho ujionee wenyewe, na usisahau ku-comment ni msanii gani unadhani alipendelewa zaidi na mapenzi!
Usisahau kusubscribe kwa habari zaidi motomoto kuhusu mastaa wa Bongo na Afrika Mashariki!
#MizukaMedia #WasaniiTanzania #MademuWarembo #BongoFleva #DiamondPlatnumz #Marioo #Rayvanny #Nandy #Billnass #Zuchu #Whozu #JumaJux #GossipZaBongo #WemaSepetu #BongoNews #TrendingTanzania
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: