Uhaba wa maji Manda
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2026-01-23
Просмотров: 158
Tatizo la ukosefu wa maji Katika Kisiwa cha Manda kaunti ya Lamu limedumu kwa muda mrefu sasa .Hii ni kutokana na eneo hilo kukosa kuwa na visima wakaazi wakitegemea kuchota maji kutoka Kisiwa cha Amu yanayosafirishwa kwa maboti…..
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: