MAMBO YOTE UNAYOHITAJI KUFAHAMU KUHUSU UWEKEZAJI NA UTT-AMIS
Автор: BizTV Tanzania
Загружено: 2021-01-29
Просмотров: 188972
Je, umeshawahi kuwaza kuwekeza fedha zako? Unafahamu ni wapi pa kuwekeza ? Faida ya kuwekeza katika masoko ya fedha na mitaji ni ipi? Afisa Masoko na Uhusiano kutoka Taasisi ya Uwekezaji Tanzania UTT Amis Rahim Mwanga anaeleza kwa kina kuhusu uwekezaji wa fedha kupitia mifuko ya pamoja ambayo unaweza kuanza kuwekeza kwa kiasi kidogo cha pesa ulichonacho. Fuatilia #darasalauwekezaji
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: