#LivenaGee
Автор: madinidotcom
Загружено: 2025-12-13
Просмотров: 4856
Tanzania imesema haina mpango wa kubali sera zake kuwa favor wakimbizi waweze kupata michongo hapa na zaidi ya yote hawana mpango wa kugeuza kambi zao makazi ya kudumu.Kule marekani Trump kakaza akisema ni uchafu kwenye nchi yake.Je? wakimbizi wanasemaje na maisha yao yapoje? Musa Nestroy ni mkimbizi tangu miaka ya 90 kwenye kambi ya Nyarugusu Kigoma kwenye LIVE NA GEE.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: