Mzee wa kaya Pekeshe Ndeje azikwa huko Rabai
Автор: KTN News Kenya
Загружено: 2014-08-09
Просмотров: 1241
Mzee wa kaya Pekeshe Ndeje azikwa huko Rabai. Viongozi wa kisiasa waliohudhuria mazishi hayo walitumia jukwaa hilo kutonesha kidonda cha siasa za pwani ya Kenya. Muungano wa CORD ambao umekuwa ukikumbwa na msuko suko katika siku za hivi karibuni umepinga hatua ya kuundwa kwa Chama cha Pwani.
Watch KTN Live http://www.ktnkenya.tv/live
Follow us on / ktnkenya
Like us on / ktnkenya
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: