Familia ya mshukiwa mkuu wa mauwaji yazungumza
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2024-07-17
Просмотров: 68236
Familia ya mshukiwa mkuu wa mauwaji ya Kware Collins Khalusha sasa inasema alikuwa na tabia ya kutoweka nyumbani kwa miaka kabla ya kuonekana. Mamake Khalusha akieleza namna mwanawe alivyowacha shule kidato cha tatu na kuamua kuendesha shughuli za kujitafutia riziki.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: