Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

Unatoka Wapi na Unakwenda Wapi? | Ibada ya Mkesha wa Mwaka Mpya 2025 | Rev. Dr. Eliona Kimaro

Автор: Rev. Dr. Eliona Kimaro

Загружено: 2025-01-01

Просмотров: 38875

Описание:

IBADA YA MKESHA WA MWAKA MPYA
31/12/2024

UJUMBE WA LEO: UNATOKA WAPI NA UNAENDA WAPI?

WHERE HAVE YOU COME FROM AND WHERE ARE YOU GOING?

( 2025 NI MWAKA WA YUBILE KATIKA MAISHA YAKO )

2 Wakorintho 9 : 15
15 Mungu ashukuriwe kwa sababu ya kipawa chake, tusichoweza kukisifu kama ipasavyo.

Mwanzo 16 : 5 - 12

5 Sarai akamwambia Abramu, Ubaya ulionipata na uwe juu yako; nimekupa mjakazi wangu kifuani mwako, naye alipoona kwamba amepata mimba, mimi nimekuwa duni machoni pake. Bwana na ahukumu kati ya mimi na wewe.

6 Naye Abramu akamwambia Sarai, Tazama, mjakazi wako yu mkononi mwako, mtendee lililo jema machoni pako. Sarai akamtesa, naye akakimbia kutoka mbele yake.

7 Malaika wa Bwana akamwona kwenye chemchemi ya maji katika jangwa, chemchemi iliyoko katika njia ya kuendea Shuri.

8 Akamwambia, Hajiri, wewe mjakazi wa Sarai, unatoka wapi, nawe unakwenda wapi? Akanena, Nakimbia mimi kutoka mbele ya bibi yangu Sarai.

9 Malaika wa Bwana akamwambia, Rudi kwa bibi yako, ukanyenyekee chini ya mikono yake.

10 Malaika wa Bwana akamwambia, Hakika nitauzidisha uzao wako, wala hautahesabika kwa jinsi utakavyokuwa mwingi.

Walawi 25 : 13

13 Mwaka huo wa yubile mtairudia kila mtu milki yake.

Leviticus 25 : 13
IN THE YEAR OF THIS JUBILE YE SHALL RETURN EVERY MAN UNTO HIS POSSESSION

NAUTANGAZA MWAKA WA 2025 KUWA MWAKA WA YUBILE KATIKA MAISHA YAKO

UNATOKA WAPI NA UNAKWENDA WAPI?

(2025 MWAKA WA YUBILEE) :WATU 25 KATIKA BIBLIA:

1 . ADAMU alitokea kwenye udongo/mavumbi/kifusi na akawa mwanasayansi bingwa kwa kuvitambua na kuviita majina viumbe na mimea bila kwenda chuo kikuu cha SUA.

2. IBRAHIMU alitokea kwenye upagani na kuwa Baba wa Imani

3. SARAH Alitokea kuwa mwanamke tasa aliyekoma kibaiyolojia na kuzaa Taifa.

4. ISAKA: alitokea kwenye njaa kali na kulima ktk Nchi ya ugeni na akavuna kipimo kimoja kwa mia. Akawa mkuu sana ktk nchi hiyo ya gerari. Mtu mmoja akaizidi Nchi kwa uchumi na FEDHA.

5. YAKOBO: alitoka nyumbani kwa Baba yake na kuvuka mto akiwa na fimbo yake tu na akarudi kutoka kwa Labani na kwenda kwa Baba yake akiwa na matuo mawili ya utajiri

6. YUSUFU: alitoka kwa ndugu zake na aliuzwa kwenda Misri akiwa uchi, na baadae akawa waziri mkuu na kuilisha Dunia miaka saba.

7. MUSA: alitoka Misri na kukimbia nchi kwa kesi ya mauaji, na akarudi kama mkombozi wa Israel na Bwana kwa farao. Huyo Musa Maneno ya watu yalimtisha na kumwondosha, ila Neno la Mungu lilisema naye kutoka kijitini na kumtia ujasiri wa kurudi.NDANI YA KIJITI MUNGU ALISEMA NA MUSA.

8. YOSHUA: alitkea kuwa mjakazi wa Musa mpaka kuwarithisha Israel Nchi kwa kupigana vita kiwango cha kulisimamisha Jua.

9. RAHABU: alitoka kuwa kahaba mpaka kuingia kwenye kitabu cha ukoo wa Yesu. GRANDMOTHER WA YESU.

10. YEFTHA: alitokea kuwa mtoto wa mwanamke kahaba, mwana haramu mpaka kuwa mtawala wa kuliongoza Taifa la Israel.

11. SAMSONI :mtoto wa Mwanamke tasa aliyeipiga serikali ya wafilisti miaka mingi. Jeshi la mtu mmoja.

12. GIDEON :kijana mdogo kutokea familia masikini kabisa na akaliongoza na kulihamua taifa la Israel miaka mingi.

13. SAMWEL :mtoto wa Mwanamke tasa na kuwa kuhani ktk Taifa la Israel na kuwapaka mafuta WAFALME mawili wa Israel yaani Sauli na Daudi.

14. RUTH: Kutoka kwenye ujane na Utasa na kuzaa wafalme

15. DAUDI : tokea kuwa Mchungaji wa kondoo porini na kuwa mfalme wa pili wa Israel.

16. MEFIBOSHETHI :kutoka kwenye LAANA YA NYUMBA YA SAULI Hadi kukaa mezani pa mfalme.

17. ESTA: kutokea kuwa Yatima mtumwa na mkimbizi toka Israel na kuwa Malkia wa Babeli yote.

18. MORDEKAI : tokea kuwa kuwa mtumwa, mkimbizi na kibarua wa ulinzi ikulu mpaka kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo ya ugenini Babeli.

19. AYUBU: Kutoka kwenye Aibu na kufulia na KUHESHIMIKA TENA MJINI.

20. DANIELI: tokea kuwa mateka, mtumwa na mfungwa na kuwa Waziri mkuu ktk serikali mbili za Babeli.

21. YESU KRISTO: mwana wa BIKIRA maria, aliyezaliwa ktk hori ya kulia Ng'ombe, aliyekosa nafasi ktk nyumba ya wageni, ALIYEVIKWA TAJI YA MIIBA hapo kwanza na kuvalishwa taji ya Dhahabu na kupata nafasi ya kuketishwa mkono wa kuume wa Mungu Mwenyezi.

22. PETRO: kutokea kuwa mvuvi wa samaki na kutoka ktk mashaka makubwa ya kumkana Yesu mara tatu, na baadaye kuhubiri na kumfufua Dorkas toka kwa wafu, na kuwa Askofu wa kwanza wa Kanisa

23. MTU ALIYEPOOZA miaka mingi na kubebwa na marafiki...alijitwika Godoro lake na kwenda mwenyewe AKIJITEGEMEA

24. PAULO MTUME tokea kuwa muuaji na kuwa muhubiri mkubwa wa Injili na kufufua wafu.

25. MWIZI PALE MSALABANI: Kutoka ujambazi na hukumu ya kufa msalabani na kwenda Peponi/Paradiso

Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro

Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053

Unatoka Wapi na Unakwenda Wapi? | Ibada ya Mkesha wa Mwaka Mpya 2025 | Rev. Dr. Eliona Kimaro

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA MORNING  GLORY  -  THE SCHOOL OF HEALING 28 NOVEMBER 2025

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA MORNING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING 28 NOVEMBER 2025

HUTATOKA KITUPU (THE POWER OF EMPTINESS) / REV. DR. ELIONA KIMARO

HUTATOKA KITUPU (THE POWER OF EMPTINESS) / REV. DR. ELIONA KIMARO

ORODHA YA MABILIONEA AFRIKA NA SIRI YA UTAJIRI WAO ~ Dr. Eliona Kimaro | Fanya haya waliyofanya

ORODHA YA MABILIONEA AFRIKA NA SIRI YA UTAJIRI WAO ~ Dr. Eliona Kimaro | Fanya haya waliyofanya

KIMEUMANA! CHADEMA WAPATA USHINDI MNONO, MNYIKA ATEMA CHECHE WALIOFUNGUA KESI, AIVAA SERIKALI

KIMEUMANA! CHADEMA WAPATA USHINDI MNONO, MNYIKA ATEMA CHECHE WALIOFUNGUA KESI, AIVAA SERIKALI

KAMA KUNA LAANA NI ILE YA KUMPIGA MWENZAKO KWA SIRI; KIKULACHO KI NGUONI MWAKO.

KAMA KUNA LAANA NI ILE YA KUMPIGA MWENZAKO KWA SIRI; KIKULACHO KI NGUONI MWAKO.

UJUMBE HUU NI WAKO | MUNGU ATAKUFURAHISHA | HAIJALISHI UNAPITIA NINI WAKATI HUU ~ Rev. Eliona Kimaro

UJUMBE HUU NI WAKO | MUNGU ATAKUFURAHISHA | HAIJALISHI UNAPITIA NINI WAKATI HUU ~ Rev. Eliona Kimaro

NDOA NI WITO WA MUNGU || Mwl Christopher Mwakasege

NDOA NI WITO WA MUNGU || Mwl Christopher Mwakasege

REV. DR. ELIONA KIMARO: IMANI NA SOKO

REV. DR. ELIONA KIMARO: IMANI NA SOKO

IBADA YA JUMAPILI II JINSI YA KUTAMBUA SAUTI YA MUNGU NA KUIFATA II PASTOR GEORGE MUKABWA.

IBADA YA JUMAPILI II JINSI YA KUTAMBUA SAUTI YA MUNGU NA KUIFATA II PASTOR GEORGE MUKABWA.

TUVUMILIE HATA MWISHO KATIKA BWANA/ REV. DR. ELIONA KIMARO

TUVUMILIE HATA MWISHO KATIKA BWANA/ REV. DR. ELIONA KIMARO

NI PALE UNATAMANI KITU KITOKEE LAKINI KIMYA! -

NI PALE UNATAMANI KITU KITOKEE LAKINI KIMYA! - "INAUMA..! ILA WAIT IN SILENCE." ~ Rev. Eliona Kimaro

HAYA NI MAAJABU YA UWEZO ULIONAO ~ Dr. Eliona Kimaro

HAYA NI MAAJABU YA UWEZO ULIONAO ~ Dr. Eliona Kimaro

NYAKATI NGUMU ZILIZOFUNGA MAISHA YAKO | Mwl.Emilian Katubayemo

NYAKATI NGUMU ZILIZOFUNGA MAISHA YAKO | Mwl.Emilian Katubayemo

1. MAOMBI YA TOBA YANAYOREJESHA ULICHOPOTEZA  // MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE.

1. MAOMBI YA TOBA YANAYOREJESHA ULICHOPOTEZA // MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE.

Hatumtafuti Mungu kwasababu tunashida

Hatumtafuti Mungu kwasababu tunashida " Ezra 8 : 21 - 23 ". Rev. Abiud Misholi

TRAUMA YA MAENDELEO KWA DAUDI / REV. DR. ELIONA KIMARO

TRAUMA YA MAENDELEO KWA DAUDI / REV. DR. ELIONA KIMARO

REV ELIONA KIMARO - UNAWEZA KUNG'ARA TENA (OFFICIAL VIDEO)

REV ELIONA KIMARO - UNAWEZA KUNG'ARA TENA (OFFICIAL VIDEO)

MAADILI NA VIJANA (ETHICS  & ECONOMICS) / REV. DR. ELIONA KIMARO

MAADILI NA VIJANA (ETHICS & ECONOMICS) / REV. DR. ELIONA KIMARO

"HAMNA ATAKEYEKUPUUZIA NA THAMANI YAKO ITAKUWA KUU SANA." ~ Dr. Eliona Kimaro | Theolojia ya Kazi

REV. DR. ELIONA KIMARO: MAISHA NA NADHIRI

REV. DR. ELIONA KIMARO: MAISHA NA NADHIRI

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]