Style aliyoitumia Makongoro Nyerere kuomba kura za ubunge
Автор: Millard Ayo
Загружено: 2017-04-05
Просмотров: 521374
April 4, 2017 ulifanyika uchaguzi wa wabunge wa bunge la Afrika Mashariki ambapo Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakifanya uchaguzi huo Bungeni mjini Dodoma.
Mmoja wa wagombea alikuwa ni Makongoro Nyerere ambaye style yake ya kuomba kura ilisababisha wabunge wengi kuanza kucheza kila muda alivyokuwa akiongea
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: