Magufuli asema wanafunzi waliofukuzwa vyuoni ni vilaza, Ampongeza Ndalichako kuwafukuza
Автор: JamiiForums
Загружено: 2016-06-02
Просмотров: 158161
Rais Magufuli amehutubia wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi wa ujenzi wa maktaba ya chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM). Rais ameongelea waliodahiliwa chuo cha St. Joseph bila vigezo kwa kumaliza kidato cha nne ilhali wamefeli wakati waliomaliza kidato cha sita na wenye sifa wamekosa mkopo. Magufuli kasema anamsifu Ndalichako kwa kuwafukuza pia amemsifu professa Rwekandara kwa kusajili wanafunzi waliofulu pekee.
Rais Magufuli amekiongelea chuo kikuu cha Dodoma kwa kupokea wanafunzi wa kidato cha nne, amesema makamu mkuu wa chuo cha Dodoma, Prof Kikula alilazimishwa kupokea wanafunzi hao.
Magufuli ametaka watanzania waache siasa kwenye masuala ya msingi. Amesema pesa badala ya kwenda kwenye mambo ya msingi ya kujenga barabara yanaenda kwa vilaza. Amesema Kikwete amempa kazi ngumu.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: