Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

IJUE HISTORIA YA JINA KAWE, TANGANYIKA PACKERS-DAR ES SALAAM MPAKA KUWA KANISA LA MWAMPOSA

Автор: PNTV Kiswahili

Загружено: 2025-03-11

Просмотров: 136

Описание:

Tanganyika Packers LTD, Kawe, Dar es Salaam 1945-1975. Kilikuwa kiwanda cha kuchakata na kusindika nyama kwa ajili ya kuuza ndani na nje ya nchi.

Eneo lote la Mloganzila (Muhimbili) lilikuwa ni eneo la Tanganyika Packers na ndilo eneo lililokuwa linatumika kuwapokea na kunenepeshea ng’ombe

Walipoletwa kutoka mikoani kwa treni wakiteremshwa stesheni ya Pugu, baada ya mwezi wanaswagwa kupelekwa Kawe kuchinjwa na kuchakatwa.

Kutoka Mloganzila kwenda kilipo kiwanda wakati wa kuswagwa, waingereza waliita COWS WAY (njia ya ng’ombe). Waswahili wakashindwa na kuita “KAWE”

Tanganyika Packers (TPL) kilikuwa kiwanda kikubwa, kikisindika nyama za kusaga kwenye makopo na kusafirisha nje mpaka kwa malkia wa Uingereza,

Kilikuwa kiwanda tanzu cha shirika la LEMCO (Liebig’s Extract of Meat Corporation) linalofadhiliwa na Uingereza, ambalo lilianzia miaka ya 1860 Uruguay.

Liebig ni heshima ya baba wa (Organic Chemistry), Justus von Liebig. Jengo la machinjio la LEMCO lipo kwenye orodha ya Urithi wa Dunia wa UNESCO.

Sehemu kubwa ya nyama kutoka Tanganyika Packers iliuzwa Ulaya hususani katika nchi ya Uingereza. Watanganyika walipata ajira katika kiwanda hicho.

Kiwanda cha Tanganyika Packers kilijengwa na wakoloni kutoka Uingereza 1945 na kilitoa zaidi ya ajira 2,500 ambapo 1,200 zilikuwa ni ajira za kudumu.

Walifanya kazi kwa shift, walichukuliwa kwa mabasi kazini. 1975 serikali ilikitaifisha kutoka kwa waingereza kuingia serikalini kufuatia sera za ujamaa.

Kiwanda cha TPL kilizalisha nyama za mabuchani, mafuta ya kutengeneza sabuni, damu ilikaushwa na mifupa ilisagwa na kuwa chakula cha kuku,

Pembe na kwato za ng’ombe zilichemshwa kwenye boiler zikatoa gundi, kiwanda pia kilisindika nyama na maharage kama ox-tail beans, ngozi nk

Katika vita ya Kagera 1978-1979, kiwanda kilitumika kuwalisha wapiganaji vitani. Chakula cha kusindika kilitoka kiwandani kwenda uwanja wa vita.

Mwaka 1975 Serikali ya Mwl, J.K. Nyerere ilitaifisha kiwanda cha Tanganyika Packers na kukifanya kuwa mali halali ya Serikali ya Tanganyika.

Baada ya Serikaki kutaifisha kiwanda, uzalishaji na ubora wa nyama iliyosindikwa ulipungua kwa kiasi kikubwa sana kwa kukosa utaalam na ufundi.

Serikali walinyimwa leseni ya kusafirisha nyama iliyosindikwa. Walinyimwa (phytosanitary certificate) kuthibitisha ubora wa vyakula vya package

Waingereza wakawanyima cheti cha ubora na usafi wa nyama inayozalishwa. Soko la Ulaya ambako ndiyo walikuwa wanunuzi wakubwa likapotea.

Soko la ndani likawa gumu kiwanda kikaanza kusambaza nyama zake kwenye mabucha ya ndani ya Dar es Salaam na baadae kiwanda kikafariki 1993

Taratibu kiwanda cha Tanganyika Packers kikaanza kufariki. Baadaye kilibinafsishwa kwa mbunge wa Kawe, hata hivyo aliishia kuuza mashine na vipuri.

Mbunge wa Jimbo la Kawe wakati huo alitokana na CCM, aliitwa Zainuddin Adamjee. aliposhindwa Kukiendeleza akaamua kung’oa mitambo na vipuri.

Mapaa, madirisha, milango na vifungashio vilipelekwa Mapambano (veterinary) na kupimwa kama vyuma chakavu na mapaa kuuzwa kama used.#mwaposa#arisechurchriverside

IJUE HISTORIA YA JINA KAWE, TANGANYIKA PACKERS-DAR ES SALAAM MPAKA KUWA KANISA LA MWAMPOSA

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

Ona Dar es Salaam ya Zamani (1920s–1970s) | Historia ya Mzizima | Makala a.i

Ona Dar es Salaam ya Zamani (1920s–1970s) | Historia ya Mzizima | Makala a.i

JE, WAJUA! TANGANYIKA NI JINA LA WAKOLONI?

JE, WAJUA! TANGANYIKA NI JINA LA WAKOLONI?

Harmonize Live In Dar Es Salaam (Tanganyika Packers Kawe)

Harmonize Live In Dar Es Salaam (Tanganyika Packers Kawe)

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI ALIYOTOA KWA WAKURUGENZI WA HAMASHAURI,JULY 12,2016 IKULU DSM mp4

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI ALIYOTOA KWA WAKURUGENZI WA HAMASHAURI,JULY 12,2016 IKULU DSM mp4

SIRI NZITO ANACHOKIFANYA DP WORLD KWENYE BANDARI YA DAR ES SALAAM, MABILIONI YAOKOLEWA

SIRI NZITO ANACHOKIFANYA DP WORLD KWENYE BANDARI YA DAR ES SALAAM, MABILIONI YAOKOLEWA

To, co Mongołowie zrobili z rodziną królewską Bagdadu, wstrząśnie tobą.

To, co Mongołowie zrobili z rodziną królewską Bagdadu, wstrząśnie tobą.

Pijana Polska Bieruta. Jak alkohol niszczył kraj po 1945 roku. Meliny, bimbrownicy i propaganda.

Pijana Polska Bieruta. Jak alkohol niszczył kraj po 1945 roku. Meliny, bimbrownicy i propaganda.

NILIWAONYA MAPEMA - Bishop Gwajima.

NILIWAONYA MAPEMA - Bishop Gwajima.

Ինչպե՞ս Հայաստանը դարձավ Եվրոպայի մաս | Լեւոն Մեծագործ: REX ARMENIAE

Ինչպե՞ս Հայաստանը դարձավ Եվրոպայի մաս | Լեւոն Մեծագործ: REX ARMENIAE

AIBU HARMONIZE ANIKA UCHAFU WA WOLPER/NILIMPA MILIONI 30/ALIMTAKA DIAMOND KIMAPENZI/ATAMZALIA MTOTO

AIBU HARMONIZE ANIKA UCHAFU WA WOLPER/NILIMPA MILIONI 30/ALIMTAKA DIAMOND KIMAPENZI/ATAMZALIA MTOTO

Китай вскрыл Луну: Что на самом деле нашли на обратной стороне?

Китай вскрыл Луну: Что на самом деле нашли на обратной стороне?

Najgroźniejszy lek bez recepty ?! Prawie wszyscy go biorą…

Najgroźniejszy lek bez recepty ?! Prawie wszyscy go biorą…

Tuliifunga

Tuliifunga "roho" ya Askofu Kakobe || Gwajima.

BALAA  BARAZANI UPINZANI HAPATOSHI VIONGOZI WABAGUANA

BALAA BARAZANI UPINZANI HAPATOSHI VIONGOZI WABAGUANA"WEWE PROFESA ACT WAZALENDO"ISHI KISIASA

KONIEC „Made in Germany”! Volkswagen zamyka fabrykę, a Europa gaśnie!

KONIEC „Made in Germany”! Volkswagen zamyka fabrykę, a Europa gaśnie!

КУСТО УВИДЕЛ ЭТО НА ДНЕ БАЙКАЛА И МОЛЧАЛ ДО СМЕРТИ | Тайна советских водолазов 1982

КУСТО УВИДЕЛ ЭТО НА ДНЕ БАЙКАЛА И МОЛЧАЛ ДО СМЕРТИ | Тайна советских водолазов 1982

Chciał rozbioru Polski, stracił wszystko. Kleszcze Lubomirskiego

Chciał rozbioru Polski, stracił wszystko. Kleszcze Lubomirskiego

Как Китай строит экономику без человека? И зачем?

Как Китай строит экономику без человека? И зачем?

⚡️ Путина просят о помиловании || Захват власти военными?

⚡️ Путина просят о помиловании || Захват власти военными?

РОССИЯ УХОДИТ С КАВКАЗА. Почему Москва теряет контроль над Ереваном и Баку | Դավիթ Գրիգորյան

РОССИЯ УХОДИТ С КАВКАЗА. Почему Москва теряет контроль над Ереваном и Баку | Դավիթ Գրիգորյան

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]