Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

SUMAYE AKIFAFANUA UUZWAJI WA NYUMBA SERIKALI SWALI LA SAED KUBENEA

Автор: Grann Chaco

Загружено: 2015-06-03

Просмотров: 29263

Описание:

Frederick Sumaye alipotangaza nia ya kugombea na kujibu maswali ya waandishi. Swali hili pia amekuwa akiulizwa sana na waziri Dkt. Magufuli

Swali : Ukiwa Waziri Mkuu serikalini ndio nyumba za serikali ziliuzwa kwa bei ya kutupwa, unasemaje kuhusu hili?
Jibu: uuzwaji wa nyumba za serikali, Rais alishauri na Baraza la Mawaziri akakubali. Kuna tume tatu zilifanyia kazi suala hili kwa muda tofauti na zote zilikuja na mapendekezo kuwa nyumba za serikali ni nyingi na serikali inagharamia fedha nyingi kuzikarabati na hivyo tuwauzie watumishi wa Umma.

Tulikuwa na nyumba nyingi mfano Breweries na bandari walikuwa na nyumba zaidi ya elfu moja. Nyumba nyingi zilinunuliwa mpaka na wananchi wa kawaida, Rais alishituka kuona ghorofa zinainuka Oysterbay zilipokuwepo nyumba za serikali.

Rais akasema lazima waraka uandikwe wauziwe wafanyakazi waliokuwa wakiishi humo na hakuna kuuzwa mpaka baada ya miaka 25 kulingana na mkataba wa manunuzi, na serikali ndio ilifanya tathmini na watumishi wa serikali wadogo kabisa wakauziwa.

SUMAYE  AKIFAFANUA UUZWAJI WA NYUMBA SERIKALI SWALI LA  SAED KUBENEA

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

Sumaye aeleza alivyopata wakati mgumu kukubali nafasi ya uwaziri mkuu chini ya Mkapa

Sumaye aeleza alivyopata wakati mgumu kukubali nafasi ya uwaziri mkuu chini ya Mkapa

Paul Makonda alivyomalizana na mgogoro wa ardhi wa Mzee Sumaye na Wananchi

Paul Makonda alivyomalizana na mgogoro wa ardhi wa Mzee Sumaye na Wananchi

Maalim Seif Akimjibu Raisi Kikwete

Maalim Seif Akimjibu Raisi Kikwete

Waziri Magufuli achukua fomu  kuomba Kuteuliwa Kugombea Urais kupitia CCM

Waziri Magufuli achukua fomu kuomba Kuteuliwa Kugombea Urais kupitia CCM

Full: Mkutano wa CHADEMA Ruanda-Nzovwe Mbeya

Full: Mkutano wa CHADEMA Ruanda-Nzovwe Mbeya

Maandamano Tanzania yanasema nini kuhusu demokrasia Afrika Mashariki? Katika Dira ya Dunia TV

Maandamano Tanzania yanasema nini kuhusu demokrasia Afrika Mashariki? Katika Dira ya Dunia TV

To, co Mongołowie zrobili z rodziną królewską Bagdadu, wstrząśnie tobą.

To, co Mongołowie zrobili z rodziną królewską Bagdadu, wstrząśnie tobą.

Putin Honors Maria Zakharova with Prestigious State Award | Watch Her Speech | APT

Putin Honors Maria Zakharova with Prestigious State Award | Watch Her Speech | APT

DKT.BILAL NA DKT.MAGUFULI WALIPOKAGUA MZANI WA VIGWAZA

DKT.BILAL NA DKT.MAGUFULI WALIPOKAGUA MZANI WA VIGWAZA

TAZAMA ALIKIBA ALIVOTUMBUIZA KWENYE MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA LEO

TAZAMA ALIKIBA ALIVOTUMBUIZA KWENYE MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA LEO

Hotuba ya mstaafu Rais MKAPA iliyotikisa DUNIA enzi za Utawala wake/tunaowachagua sio mabwana zetu

Hotuba ya mstaafu Rais MKAPA iliyotikisa DUNIA enzi za Utawala wake/tunaowachagua sio mabwana zetu

КУСТО УВИДЕЛ ЭТО НА ДНЕ БАЙКАЛА И МОЛЧАЛ ДО СМЕРТИ | Тайна советских водолазов 1982

КУСТО УВИДЕЛ ЭТО НА ДНЕ БАЙКАЛА И МОЛЧАЛ ДО СМЕРТИ | Тайна советских водолазов 1982

⚡️У Путина ПУБЛИЧНО ЗАГОВОРИЛИ о ПОБЕДЕ в

⚡️У Путина ПУБЛИЧНО ЗАГОВОРИЛИ о ПОБЕДЕ в "СВО"! Скабеева УМОЛЯЕТ ОСТАНОВИТЬ ВОЙНУ.Москва ДАЛА АНОНС

Россияне у Нестора Махно, будет ли мир до конца года, у Зеленского готовят онлайн-выборы.Итоги 26.12

Россияне у Нестора Махно, будет ли мир до конца года, у Зеленского готовят онлайн-выборы.Итоги 26.12

"Very Glad to See You!" – Putin Meets Armenia’s Pashinyan in St. Petersburg | APT

Переговоры ЗЕЛЕНСКОГО с ТРАМПОМ! ГАРАНТИИ БЕЗОПАСНОСТИ, ЗАЭС, ТЕРРИТОРИИ: чего ОЖИДАТЬ от ВИЗИТА?

Переговоры ЗЕЛЕНСКОГО с ТРАМПОМ! ГАРАНТИИ БЕЗОПАСНОСТИ, ЗАЭС, ТЕРРИТОРИИ: чего ОЖИДАТЬ от ВИЗИТА?

Как Путин ответил Британии: атака на 4 танкера одновременно. Как Москва мстит за генерала

Как Путин ответил Британии: атака на 4 танкера одновременно. Как Москва мстит за генерала

Polexit w tle: „Nas nie stać na to, żeby być w Unii Europejskiej”

Polexit w tle: „Nas nie stać na to, żeby być w Unii Europejskiej”

Erich Hartmann. Jak as wszech czasów trafił w ręce Sowietów?

Erich Hartmann. Jak as wszech czasów trafił w ręce Sowietów?

РОССИЯ УХОДИТ С КАВКАЗА. Почему Москва теряет контроль над Ереваном и Баку | Դավիթ Գրիգորյան

РОССИЯ УХОДИТ С КАВКАЗА. Почему Москва теряет контроль над Ереваном и Баку | Դավիթ Գրիգորյան

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]