JJ Kabapa Maneno (Video_Official)by geita asili yetu 0789911605
Автор: GEITA ASILI YETU VIDEOS PRODUCTION STUDIOS
Загружено: 2023-07-13
Просмотров: 1453
Samahani mashabiki wote wa jj kabapa kwa niaba yake lakini pia samahanini Sana mashabiki wote mnaofuatilia Kazi zetu kutoka hapa studio @buffalo_arts_familly_movies
changamoto Katika video hii ya jj kabapa iitwayo Maneno
moja nilipigiwa simu nikiwa location nikishoot video ya msanii @dikakimishawasumbwahalisit7596
kabapa akanipigia huku akiniomba kufka katika sherehe hiyo ambayo ilifanyikia kijiji anachoishi jj kabapa kiitwacho #NYANTIMBA
wakati ninamalizia zoezi langu lakushoot video hiyo ya Dika boy kimisha Niliweka battery yangu kwenye chaji kwakua umeme niliokua ninatumia kuchajia kifaa changu ulkua wa jenereta hivo lilitokea tatizo la kiufundi na chaja ya Camera yangu ilipigwa shoti ikaungua pale pale sehem na mazingira niliokua nikishutia mtandao wa Artel lain ilkua inaandika Network busy
asubuhi Sana niliamka nikatoka kijiji hiko kiitwacho CHIKOBE nikaelekea KATORO MJINI ili nifanye mawasiliano nitumiwe CAMERA nyingine kutoka oficini basi nikafka katoro nikatafta kibanda nikakaa hapo nikaanza kuboost simu yangu kwa sababu haikua na chaji Ghafra kuna mtu aliniita kiukweli sikua namjua ila nilienda kumskiliza kufka nikamuona ni mtu aliejawa na hofu kubwa Kwanzaa ongea yake na mapigo ya moyo wake yalivokua yakikimbia mbio nikamuulilza huku nami mi Nikiwa nae kwa mashaka nikiofia kuibiwa make nilkua nimebeba begi lenye CAMERAS na nilkua Nina Lans za Gharama
nanukuu maneno yake _kaka ety HOSPITAL ya MISSION inapatikana wapi nikamuuliza unaonekana kama umepagawa kwani kuna nani kalazwa hapo hospital akanionesha kichupa kidogo nilkisoma kilikua kimeandikwa
MADINI YA DHAHABU
YENYE THAMANI YA MILIONI 40
nikamuuliza kwa hofu vipi kuhusu hiko kichupa akaniambia nanukuu mimi naishi CACORA kijijini kwetu kuna wazungu walipatwa na ajari wakaangusha hivi vichupa na wakatangaza kwenye RADIOS kwa atakaeviokota nakuvipeleka anapewa zawadi ya MILIONI 8
hapo namimi nikabaha wakati nikiwa nimezubaa yule mtu akaita kijana mwingine nae akamuulizia swali lile lile yule kijana akamshauri nanukuu wewe ebu toka twende huku kaka usioneshe oneshe kila mtu hii ni hera kaka kwani we hutaki utajiri , kijana akavuta kando akatoka tulpokua tumesimama kijana akamuomba aione tena ile chupa alipoiona akamuuloza swali kaka unajua kusoma yule la kaka akajibu hapana sijui kusoma ila chupa kama hizi nilkua ninazo mbili nyingne niliwaonesha watu wakaninyanganya nimebakiwa na hii moja basi nilipoona kama kuna dalil ya kudhulumiwa yule mkaka nilianza kuwafuata kwa kila hatua waliokua wakienda yule kijana alituzungusha kuanzia saa 2 asubui mpaka saa 5 bila matumaini yoyte ya kuipata HOSPITALI hiyo ghafla tu aliongezeka kijana mwingine ko tukawa watu watatu wote tunamwelekeza hospitali yule kaka mimi nilkua mgeni ko nilkua ninawafuata wenyeji nilikuja kushtuka muda ushaniacha nikawaacha wale vijana nikaenda moja eneo niliokuwa nimeacha simu yangu ile kuwasha tu JJ KABAPA akapiga kwakua nilkua nimechelewa nikamwambia nipo katoro nakuja hapo nyantimba nnafka muda sio mrefu ajabu na yeye akaniambia yupo katoro kwenye studio ya @manyerotv806 ko tukutane busele sele tuianze safari nikachukua namba ya ofice alafu simu yangu nikazima nikaanzima simu nyingne nikaanza kuwatafta oficn ili wanitumie camera nyingne ila simu zao hazkupolkelewa nikampgia Bravo hakupatikana dah nikawasha simu yangu huku nikiamini labda hawajapokea kwakua namba ngeni ile nawasha tu Jj kabapa akapiga kwakua nilkua nimemzimishia simu ikabidi nimdanganye nikamwambia nimepata lifti hapa kapita msela wangu hivo nipo bwanga ajabu nayeye akasema? imekupgia mno hupatikani nikaanza kwenda namimi nimefka bwanga hapa njoo twende sasa nina piki piki ya nyumbani sasa hapo ndo nikachanganyikiwa nikazima simu alafu nikapanda boda hadi NYARUTEMBO kufka pale boda boda wakaniuliza unaenda wapi nikawajibu naelekea kushoot kwao na jj kabapa nyantimba sasa kumbe wale boda walkua wanafahamiana na kabapa wakaniambia kabapa alkua amekaa mazingra Yale make alisema kuna mgeni wake anakuja ila simu hapatikani alafu ni mgeni inawezekana ikawa ndo wew kwenda nikamta ndie yeye sasa nikashindwa ata kumwambia camera inashida kwa sababu alkua anarahumu sana mimi kutopatikana kwenye simu sherehe nzima imesimama kisa mimi
hivo tulienda tukafka eneo la tukiwa kilichotokea ni kwaamba vipande vingi vilishootiwa na Simu make camera ilikua inazima hivo naombeni sana mtuuwiye ladhi kwakuwatia kazi isio na ubora ndani yake ilikua ni kazi ya kushoot vídeo tatu MANENO niliishuti na kazi nyingne akaifanya @MakulaStudios sasa imebaki kazi moja inayoitwa MAMA NGORO hiyo kazi kama nitapewa niifanye nawaaihidi nitajisafisha makosa yangu kupitia vídeo hiyo by
DIRECTOR BAROZI WA WATU WEUSI
maoni na ushauri 0789811605
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: