Makamanda DSM washtukiza Stendi Ubungo wamebaini madudu haya
Автор: Millard Ayo
Загружено: 2018-07-05
Просмотров: 24890
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoa wa DSM, Marison Mwakyoma aliongozana na Kaimu Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya DSM DCP- Lebaratus Sabas wamefanya ukaguzi wa leseni za madereva na ubovu wa mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: