UTARATIBU WA MAOMBI YA UDAHILI WA SHAHADA YA KWANZA KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025
Автор: TCU TV Tanzania
Загружено: 2024-07-25
Просмотров: 148
Je, unataka kuomba udahili wa Shahada ya Kwanza katika vyuo vya elimu ya juu nchini kwa mwaka wa masomo 2024/2025?
Calvin ana ujumbe wako. Msikilize!
Tunakukumbusha, endelea kupata taarifa sahihi kuhusu masuala ya udahili kupitia tovuti ya TCU na tovuti za vyuo vinavyodahili wanafunzi wa Shahada ya Kwanza kwa mwaka wa masomo 2024/2025.
#UdahiliWaShahadaYaKwanza2024_2025
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: