| MWAKA WANGU | Kifo Cha Raila Odinga
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2025-12-27
Просмотров: 5761
Kifo cha ghafla cha waziri mkuu wa zamani Raila Odinga kiliiitosa kenya kwenye mshtuko na majonzi oktoba mwaka wa 2025. Mshtuko huo haukuwasaza wanahabari ,wakiwemo wahariri na maripota wa royal media services.. Stephen Letoo alikumbana na tanzia hiyo ya ghafla ana kwa ana aliposafiri hadi nchini india kutathmini hali na kisha kuurejesha mwili wa Raila nchini, akiwa ameandamana na viongozi mbalimbali na wanafamilia.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: