“Sikuhizi Kusifu Kumekuwa Kwingi” Mzee Warioba Afunguka Kuhusu Suala la Utawala Bora Nchini
Автор: The Chanzo
Загружено: 2024-09-19
Просмотров: 8361
Warioba ameyasema haya wakati akitoa mada wakati wa Kongamano la hali ya demokrasia nchini lililoandaliwa na Kituo cha Demokrasia (TCD) katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: