KITUO CHA AFYA ILEGE KUHUDUMIA WANACHI ZAIDI ELFU 70
Автор: CCM Tabora online TV
Загружено: 2022-03-23
Просмотров: 84
MKt wa Halmashauri ya kaliua MH Japhael Lufungija akiambia kamati ya siasa ya CCM Wilaya ilipotembelea ujenzi wa kituo cha Afya Ilege amesema kituo hicho kitakachohudumia kata Tano na kuwanufaisha zaidi ya wananchi Elfu Sabini .Mh LUFUNGIJA amesema awali wananchi walikuwa wanapata huduma ya afya Mkoa jirani Wilaya ya Ushetu kukamilika kwa kituo hicho kutaondoa adha ya wananchi kusafiri umbaliu mrefu kufuata huduma.
MH lufungija amsema wananchi wameupokea mradi huo kwa furaha kwani wamechangia Tsh Milioni Sita na zimetumika kununulia eneo linalojengwa kituo hicho cha AFYA ILEGE la ukubwa wa heka 20 na hivyo kuufanya mradi kutekelezwa vizuri
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: