Ndugai: Kuna siku nchi itapigwa mnada
Автор: Mwananchi Digital
Загружено: 2021-12-28
Просмотров: 554505
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema tozo za miamala ya simu zilipitishwa ili nchi iweze kutekeleza miradi yenyewe, badala ya kutegemea mikopo ambayo imekuza deni la Taifa kufikia Sh70 trilioni.
Amesisitiza haiwezekani miaka 60 baada ya uhuru nchi bado iwe ya kutembeza bakuli.
“Kipi bora, sisi Watanzania kuzidi kukopa na madeni au tubanane hapahapa tujenge wenyewe bila madeni haya makubwa makubwa yasiyoeleweka, ni lini sisi tutafanya wenyewe na vipi?
“Tutembeze bakuli, ndiyo heshima kisha tukishakopa tunapiga makofi…, kuna siku nchi itapigwa mnada hii,” Spika wa Bunge, Job Ndugai
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: